Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Jumlisha na wale wanaopenda movie za kutafsiriwa
Cc Mightier OKW BOBAN SUNZU etcKwa uchunguzi mdogo niliofanya nimegundua kuwa watu wanazi sana wa hizi timu huwa hawako timamu kichwani.
Ukiona mtu muda wote au zaidi ya asilimia 70 ya maongezi yake ni Simba na Yanga. Muda mwingi anashinda amevaa jezi ya Yanga au Simba. Mitandaoni anafuatilia sana habari za Simba na Yanga. Mara Mukoko hivi, mara Manara vile, kuwa naye makini sana. Usimuamini kwa jambo la msingi. Huwa hawana mawazo ya maana. Hawana maongezi ya maana. Na mbaya zaidi wengi huonyesha dalili ya matatizo ya akili.
Jiepushe na watu wa namna hiyo.
Humu JF kuna members mamilioni,unaonaje ukitengeneza ushikaji na wengine badala ya kukomaa na mimi. Several times nakuonya achana na mimi, acha kunitag,acha kuni quote. Nitumie lugha gani broo
Pamoja na hayo, kutopenda kwangu mpira kulinifanya nijione tofauti sana hasa ukizingatia wengi wanaupenda mpira. Mbaya zaidi unakuta mechi inaendelea alafu mtu from nowhere anakuuliza ngapi ngapi?Kitaalam binadamu ni lazima atakuwa kuna kitu anakipenda sana hata kufikia kuwa kero kwa baadhi ya watu wengine. Hupendi mpira sawa ila jichunguze kuna uwehu flani upo, huko kunaitwa kupenda
🤣🤣Usiwasahau wale wazee wa kuchombeza habari za chanjo hata kwenye uzi usiohusu hayo maswala, hapa utakutana na kiongozi wao kitaifa Jumbe Brown .
Ha ha ha wazee wa "CHOPRICHOPRI"....Kwahiyo unataka kumaanisha kuwa Tate Mkuu na NAWATAFUNA Insigne @ na OKW BOBAN SUNZU wana matatizo ya akili? maana kila nyuzi wao ni Simba na Yanga.
Kuna mmoja wao hapo yeye kaenda mbali zaidi, kaamua kuweka kabisa picha ya mmiliki wa club moja hivi hapa Tz.
Jumlisha na wale wanaopenda movie za kutafsiriwa
Mkuu huwa unanifurahisha sana, wewe kila sehemu lazima uchombeze neno kuhusu chanjo[emoji28][emoji28].[emoji1787][emoji1787]
Tutaelewana kote ila utakapo zungumzia Yanga vibaya hapo hatuwezi kuelewana kabisaKwahiyo unataka kumaanisha kuwa Tate Mkuu na NAWATAFUNA Insigne @ na OKW BOBAN SUNZU wana matatizo ya akili? maana kila nyuzi wao ni Simba na Yanga.
Kuna mmoja wao hapo yeye kaenda mbali zaidi, kaamua kuweka kabisa picha ya mmiliki wa club moja hivi hapa Tz.
Hahahahah ChoprichopriHa ha ha wazee wa "CHOPRICHOPRI"....
In this current life, never take everything seriously. Especially in social network lifeKwa uchunguzi mdogo niliofanya nimegundua kuwa watu wanazi sana wa hizi timu huwa hawako timamu kichwani.
Ukiona mtu muda wote au zaidi ya asilimia 70 ya maongezi yake ni Simba na Yanga. Muda mwingi anashinda amevaa jezi ya Yanga au Simba. Mitandaoni anafuatilia sana habari za Simba na Yanga. Mara Mukoko hivi, mara Manara vile, kuwa naye makini sana. Usimuamini kwa jambo la msingi. Huwa hawana mawazo ya maana. Hawana maongezi ya maana. Na mbaya zaidi wengi huonyesha dalili ya matatizo ya akili.
Jiepushe na watu wa namna hiyo.
Mkuu hawa nawatetea kwamba hawajui lughaJumlisha na wale wanaopenda movie za kutafsiriwa
Nakuelewa mkuu😅Tutaelewana kote ila utakapo zungumzia Yanga vibaya hapo hatuwezi kuelewana kabisa