Ukiona mtu anashabikia sana Simba na Yanga kuwa naye makini, wengi hawana akili timamu

Ni husda tu za watu wanaokaa na dada zao vibarazani.
ni bora sisi tuko busy kwenye Simba na Yanga kuliko wao waliobize kuangalia porn.
Simba na Yanga ni watani wa jadi tu,ni swala la mapenzi ya mtu.
mwana Simba mwenzangu ni Man U na mimi Arsenal,hizi timu zikicheza huko ng'ambo tunaparulana kama kawaida.
 
Mkuu huwa unanifurahisha sana, wewe kila sehemu lazima uchombeze neno kuhusu chanjo[emoji28][emoji28].
Ha ha ha mkuu wangu nami nasuuzika kweli kuwajikumbusha umuhimu wa chanjo 🤣🤣
 
".....wanaokaa vibarazani na dada zao...."🤣👋👋


#DaimaMbeleNyumaMwiko
 
Naelewa mkuu, mimi pia ni mwana Simba Sc.

Naona mleta mada kaamua kuleta mada chokozi Ili kuziteka hisia za mashabiki wa Simba na Yanga.
 
Kila kitu kinahitaji kiasi, mleta mada amezungumzia kupenda izo timu kupitiliza kunaweza kufanya ushindwe kuona ata Kama zinafanya makosa katika baadhi ya Mambo. Penzi likizidi uleta upofu. Tuwe na kiasi katika kila Jambo.
 

Na huo uwezo huna,yani watu tuna hustle na maisha yetu huku tukifurahia maisha kwa kushabikia hizi Team pendwa,wewe unawaza kuziondoa.Uwezo ulionao ni wa kuondoa na kuongeza majukumu nyumbani kwako peke yake.Huku kwingine acha kila mtu aishi maisha atakayo,after all hatujawahi kuja kuomba msaada nyumbani kwako kwamba kwa sababu ya kushabikia Simba na Yanga tumeshindwa kuendesha maisha yetu.
 
Mkuu kweli. Hata kumiliki king'amuz cha wengi hawawezi. Niliamia mtaa mmoja alikuja mwamba mmoja kucheki game duh kesho yake walikuja kama sita kabeba wenzake. Ikawa ndo mchezo kilivyokata nikatulia nikawaambia jazeni walipotea wote.

Kwa hiyo kwa wewe kumiliki king’amuzi cha Azam tu ndiyo umejiona umeyapatia maisha kuliko wao.Ungekuwa unamiliki Dstv Exprola na unalipia Premium package nadhani hapo mtaani ulikopanga wangekuwa wanakuamkia kila wakikuona Tajiri wa mtaa[emoji3][emoji3]
 
Yaani hakuna nisichopenda Kama mpira hata wacheze Simba na yanga me sina habari.

Na wewe pia hicho unachokipenda sana wengine hawataki hata kukisikia,ndivyo tulivyoumbwa,hatuwezi wote kuwa sawa.
 
Hapo ni kuingilia uhuru wa watu,.....na kwa namna hyo tu ww hufai kuwa kiongoz kweny taasisi yyt maana utataka wafanyakaz wafanye jambo kwa kufuata matakwa yako...nna hofu hata familia yako imekosa furaha kutokana na mtzamo wako ulivyo

Na unakuta huyu muanzisha mada anamwota Kiongozi Dictator[emoji3]
 
Binadamu wana mambo mengi na wanatakiwa kuwa na kiasi kwa kila jambo hasa mwanaume. Unatakiwa ukikaa na watu uweze kuwa na mazungumzo ya aina mbalimbali. Sasa wewe mtaa mzima au ofisini wanajua wewe ni mtu wa mpira, mzungumza mpira muda wote.

Wakikuona tu wanaanza kukuchonoa na habari za mpira. Na wewe unaanza kutiririka ukifikiri sifa. Kumbe wanakuona hamnazo na hawana jambo lingine la kuzungumza na wewe.
 
Mkuu kweli. Hata kumiliki king'amuz cha wengi hawawezi. Niliamia mtaa mmoja alikuja mwamba mmoja kucheki game duh kesho yake walikuja kama sita kabeba wenzake. Ikawa ndo mchezo kilivyokata nikatulia nikawaambia jazeni walipotea wote.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
In this current life, never take everything seriously. Especially in social network life
Correct. It’s really disconcerting to realize that a bunch of these diehard fans are often suicidal or inclined to go on murderous rampages to express their displeasure with match outcomes.

No wonder the notion of insanity is easily associated with such personalities.
 
Kuna illusion pia
 
Naelewa mkuu, mimi pia ni mwana Simba Sc.

Naona mleta mada kaamua kuleta mada chokozi Ili kuziteka hisia za mashabiki wa Simba na Yanga.
Pamoja mkuu,nashukuru kwa kuna tag,huyu mleta uzi anatuonea gere mashabiki wa Simba na Yanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…