Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Mimi nimeumia kwa kweli yeye abgeufuata uislam angeenjoy zaidi...Kwa kisa hiki as if key changer ni uislamu, unfortunately badala ya wewe kuwa muislamu umemrudisha binti wa kiislamu huko unakosema hakuna maadili mema. What a disgrace is that!
Lakini mimi ni Mkristo na nimeoa Muislam na sio mimi tu wengi sana wameoa WaislamChangamoto ni kuwa uislam umeruhusu wanaume kuowa wanawake wasio waislam lakini wanawake wa kiislam wamekatazwa kuolewa na wanaume wasio waislam
Nina uhakika, vijana makini watazingatia ushauri wanguVijana ambao bado hamjaoa msipo fuata ushauri wa The unpaid Seller hiyo itakuwa ni shauri yenu.
Mapepo yanatolewa kwa jina la Kristu Yesu na binti anafanyiwa maombi ya deliverence fresh anakua tayari kwa matumizi.Huo ni mtazamo wako kwa upande mmoja, angalia na upande wa pili.
Ulichoandika ni kweli, lakini hawa wadada wana mapepo sio kidogo usipokaza buti.
Imani yako itakakuwa mashakani.
Inawezekana ila kuna gharama, tena gharama.
Ukute na ndugu zake wameshika uislam, [emoji848][emoji848][emoji848][emoji380][emoji380]
Aise ni hatari mkuuMimi ni mkristo ila nakubaliana na mtoa hoja kwa asilimia fulani, ukristo unaendana na mifumo ya mataifa ya magharibi ambapo suala la feminism limetamalaki!
Unamsikia baba mkwe amamwambia binti “akikunyanyasa urudi chumba chako kipo” hivi kwa akili ya kawaida unawezaje kutamka kauli kama hii!?
Nakubaliana na wewe, hawa viongozitu Wakristo hawajabase sana kwenye maadili, wao ni miujiza na mafanikio hapo unakuta mdada na liwigi lake kichwani, makope bandia makucha bandia, yupo "ameeen I receveive papaa"Waislam wenzetu wanafundishwa maadili zaidi na namna ya kumcha mwenyezi Mungu na kuishi maisha yanayostahili..kwenye ukristo tuko busy kuombeana ufanikiwe, miujiza, unabii na umotivesheni speaker ndani yake .we are too much focus on personal rather than kujenga mtu aishije kwenye jamii...
Haki sawa..tutawapa mimba iwe njia rahisi ya kuwaoaChangamoto ni kuwa uislam umeruhusu wanaume kuowa wanawake wasio waislam lakini wanawake wa kiislam wamekatazwa kuolewa na wanaume wasio waislam
Ukristu ungeruhusu talaka zaidi 95% za ndoa za Kikristu zingevunjikaSio kweli.
Hujakutana tu na wanawake wa kiislamu wakakusumbua.
Kama hao ni watu ideal sana kuoa, mbona huko talaka ndio nyingi na zinatokana na kukosekana kwa uaminifu na tabia mbaya??
Na ukimuachisha kujitanda na joto linaisha.Umesahau pia ni wasafi wana miili yenye joto na wanajua mapishi sijui nifuate njia yako??
Hizo ni assumptions tu.Ukristu ungeruhusu talaka zaidi 95% za ndoa za Kikristu zingevunjika
Katika Uislamu swala la ndoa mko vizuri, ukweli lazima tusemeMimi nimeumia kwa kweli yeye abgeufuata uislam angeenjoy zaidi...
Kuna jamaa yangu alikuwa mkristo na mkewe alikuwa Muislam....kwa Sasa ana wake watatu amenipita Mimi muislamu og....