Ukitaka kuwatesa warembo wakali wa mjini, wakutafute kwa udi na uvumba, fanya hivi wewe mwanaume

Mkuu sis TUNAO FUGA NGURUWE acha tuwe wapole muda wote sis ni ..... acha madem wakal watupite BADO TUNA SIKILIZIA
Tena nyie wafugaji ndio mko vizuri, nguruwe 10 tu wanabadilisha maisha yako.
 
Uwe na gari kubwa land cruiser usubiri wanawake wakuhonge pesa. Unajiaibisha bro.
Mwanaume mwenye sifa hizo anatakiwa awe na pesa zake na si za kuhongwa.
Omba omba utawajua tu
 
Mfafanulie kwa kiswahili nadhani msingi wake umejikita katika ku-persuade girls lakini hajajifunga kwamba ndo mbinu pekee za kuvua samaki
Unajua ata kupiga mswaki ni njia mojawapo ya kushawishi upande wa pili ili wajue mdomo wako unanukia vizuri?
 
Omba omba utawajua tu
Yaani mimi lazima nikuombe utake usitake. Kama hujiongezi kwa vipesa vya hapa na pale au zawadi ndogo ndogo my friend ujue kuna mwingine tu ambae anafanya hivyo kwangu.
Nature ya mwaaume ni kuhudumia..ipo hivyo kwa upande wangu na itaendelea kuwa hivyo milele na milele amina. Hutaki...unasepa tu kiroho safi wala sikuulizi
 
Yote tisa nasema tena yote tisa
Kumi sasa hii ni kwa wanaume wote hapa nalenga wale wenye 6+" Hakikisha ukipewa mbususu japo kwa bahati mbaya fanya kama hujawahi fanya na kama hutawahi fanya tena kisha kausha usipige wala kupokea simu tena japo kwa miezi miwili.

Uone mrejesho wake,, narudia tena kusema kama Umejaaliwa 6+" pamoja na mapafu ya mbwa shukuru sana kila iitwapo leo hakuna zawadi kama hiyo hapa duniani kamwe..

Sio magari wala majumba
 
Nimesoma vipengele viwili vya kwanza, Nika Cheka Sana, this is total bullshit! Ngozi inukie pesa, kwa kukesha kwa mwamposa na kapola! C Mon dude, surely ur life ambition can not, should not be to attract women, and being womanizer!
Even our own Diamond of WCB,with all the riches he has managed to accumulate, does not go out fucking any creature with skirt!
For young people create wealthy(don't ask me how, am a bodaboda rider), pesa ni muhimu Sana, women, and sweet staff will come, but let it not be the driving force for you to create money! Life is more than that!
Kuna vijana kibao kitaa, hawana ajira, tengeneza ajira kwa ajili yao
 
Hujawahi kumpenda mtu jinsi alivyo, na ukahisi kama atakuacha unaweza kujinyonga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…