Ukweli ni kwamba Maandamano ya CHADEMA yamefanikiwa kwa 100%



Ujumbe umefika wangeteka watu zaidi na kuwauwa
 
Ndio maana watu wanakuona hauna akili.
 
Mbowe
Mbowe hakukamatwa kama kuku alikamatwa kwa heshima na taadhima na kila mtu asiengejua kuwa Mbowe yupo magomeni ila ujumbe umefika
 
Hongereni sana CHADEMA.

Nimefanya mazoezi sana leo ya kutembea kuanzia stesheni, mnazi mmoja, faya hadi Makumbusho ambapo nimejionea mengi sana.

Hakuna kulala, Viongozi wakitoka tangazeni maandamano tena na tena hadi walegeze wapuuzi hao
 
hawa jamaa ni wababaishaji, kwa huu utekaji ni kuintimidate
 
Kuna mmoja nimemuona anapita njia na baiskeli yake wamemkamata.
Umeshakuwa mtaji wa polisi sasa.maana dhamana hapo utatoka na hela.wamekosa waandamanaji wanakamata wapita njia
πŸ˜„ watu ndiyo watawajua wao ni nani leo watu watalala sana lokup
Kutoka na mpunga
Kuna watu wanajipitia tu wamenyakuliwa
Jamaa washapata mtaji πŸ˜„

Ova
 
100% wapi wewe?
Acha porojo.

Jitahidini kukuza chama kwanza, Mbowe ananyakuliwa Magomeni kama raia wa kawaida.

Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani taifa anakamatwa kama machinga, halafu unakuja unaleta porojo hapa.
Unafikiri Raila Odinga anaweza kubebwa na POLISI kirahisi kama alivyobebwa Mbowe leo pale Magomeni?

Inabidi mjitafakari kama chama, hali yenu ni mbaya mno.
 
Mungu ana mambo mengi ya kufanya hawezi angaika na hizi lawama zako za kitoto, kama huwezi kupambana hakuna mtakacho ifanya ccm
 
Mkuu

Watu wa elimu ya STD seven
How they can have interagency unit.

Wamefundishwa kupiga na kutumia mtutu.
Mtutu kila mtuu anajua kutumia
 
Nakuunga mkono wa 100+%

Mkuu nchi imerindima kila mahali
Leo nimepita mitaa ya Mwanza mjini nakutana na land cruise za kutosha ma polisi wameshona ndani wapaki kila mahali
While maandamano yametangazwa Dsm tuu!
 
Mimi kama Mtanzania ambaye watanzania wenzangu wamekufa na wengine kutekwa ukianza kuniambia mambo ya ushindi sikuelewi Kabisa.....

Politizing the Issues....
 
Wacha blaa blaa wewe kibaraka ,,mumeshughulikiwa hasa.

Kazi inaendelea πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/reel/DAQXvsstG8p/?igsh=MTVraWExYmNmbXl6MA==
 
Ndo wajuwe Akili ndogo Haijawahi kushinda akili KUBWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…