Ulishawahi kupatanisha changamoto ya ziada katika ndoa ambayo haina mtoto/watoto? Hii inahitaji hekima na busara nyingi sana

Kinachowafanya Wapinzani waweseke ni Kwasababu Rais Samia ame wa outsmart kwa kila kitu.
 
Kampuni ya Mafuta ya Total Tanzania, Yampongeza Rais Samia na Kuipongeza Tanzania, Kujenga Mazingira Bora ya Biashara ya Mafuta, Uwekezaji.
Long live samia Rais bora africa na dunia kwajumla.kwa kuishinda corona.
 
Kama ya kwangu bado ipo kwa sababu ya watoto tuu, bila hivyo kitamboooo.
 
Huwa nikiona hizi mada za kukosa watoto naumia Sana Kuna mama yangu mdogo(mke wa bamdogo) wamefunga ndoa mwaka 2006 mpaka Leo hajabahatika kua na mtoto wakati wa mwanzo wa ndoa alikua so charming na NI mrembo Sana,anakuja nyumbani kututembelea, tunaenda kwake kila mtu alikua anampenda yaani, kadri miaka ilivyokua inaenda akawa anabadilika Kuna function za familia akawa hashiriki Tena, akawa mtu wa hasira kipindi flani akajaribu kujiua bahati nzuri aliokolewa mwaka juzi mdogo wangu anayenifuata alipata mtoto nakumbuka wazo la kwanza akilini mwangu nilijiuliza sijui mamdogo alijisikaje aliposikia mwanaye amepata mtoto yeye bado maskini.
Huwa namuwazia Sana sijui kwanini.

Mungu awape kicheko wanawake wote mlioko kwenye ndoa na mnahangaika kutafuta watoto
 
mwaka juzi mdogo wangu anayenifuata alipata mtoto nakumbuka wazo la kwanza akilini mwangu nilijiuliza sijui mamdogo alijisikaje aliposikia mwanaye amepata mtoto yeye bado maskini.
Huyo mtoto aliyezaliwa, kama ni wa kike, alipaswa kupewa jina la bibi yake (ma' mdogo aliyekosa mtoto)
 
Duuuh kijiua tena? Inawezekana watu walikuwa wanamsimanga sana, tena ndugu wa mume.
 
Pole sana kaka mkubwa. Mbona sisi ambao hatujaoa mnatutisha hivi?
Hapana sisi wengine tuliangalia uzuri was mwanamke na mahaba yake kumbe hivo vitu havina dhamani kuleta furaha ya maisha katika ndoa.

Tuoliona kabisa hulka za ubinafsi, kisirani na gubu hatukujali tuliona kikubwa uko peke ako na kitandani fresh tukajua ndo mwisho...

Kumbe KABURI la kunizika mzima mzima
 
Mkuu, tumekutana tu humu JF lakini I can feel what you're going through. Pole kaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…