Unabii baada ya kiongozi mmoja wa juu kubeza uwepo wa Mungu

Mungu yesu? Huyu huyu wa waliyemshindilia misumari pale yelusalamu? Takataka
 
Kila mtu na dini yake anayoiamini! Mimi siwezi kuifuata yenu na ninyi hamuwezi kuifuata yangu !! 🙏🙏🙏
 
Bla bla hizi watu wanaua, wanateka na kulawiti kwa wingi n bado Mungu anawaacha na ni matajiri wana afyan njema na wanazidi kupata vyeo sembuse maneno tu.
 
Ingawa sioni hiki kikitokea, ila I can tell kuwa unayemuongelea ni huyo hapo.
 
Huyu bwana huwa yupo too general kiasi hakuna uthibitisho wa moja kwa moja na akisemacho.

Tumia akili MAGAMBA MATATU hawa husema kwa codes, ukifanikiwa kufungua codes hizo basi unakuwa na picha yote specifically.
Binafsi huwa nawaona kama wabahatishaji tu lkn Kuna ile code ya Bernard Membe msela alitujuza Hadi trh ya Membe atakayoondoka.
 
ungeweka na reference kuna wanaofikiri umetunga maneno haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…