Changchun yatai
JF-Expert Member
- Mar 18, 2023
- 410
- 1,050
Maziwa fresh au mgando, nilikua karatu kipindi Fulani maji yanarangi ya udongo tukaamua badala ya kutumia maji kupika ugali tukawa tunatumia maziwa fresh tunasonga ugali wa sembe na samaki wa kukaanga aisee baada ya miezi mitatu nilinenepa shingo ikawa kama shingo la dume la nyati.ugali maziwa na kitimotooo ndizii weeeeee
MImi pia sijui ni kipi. Chochote tu kinachokuja nakula.Sikuizi sijui chakula nikipendacho sijui Kwanini..
Huenda na maisha yao ya mikiki mikiki, ni mazoezi tosha, sisi huku ofisini, ukitoka upo kwenye kibaby walker chako, mitungi, nyama kwa sana, ukitoka kibaby walker unaenda lala, bado mavyakula ya hovyo ni mengi, junks food huku ni kwa sana tofauti na huko vijijini.Mm nikimla Leo hamu inaisha kabisa hadi siku nyingine siwezi mla mfululizo, nyama ya mbuzi ndo naweza kula mfululizo Kuna wakati nilikua umasaini huko kwenye minada yao utakula nyama hadi ukimbie lakini cha ajabu hawana vitambi na daily wanagonga nyama na beer hazikosi mpaka vijijini siku hizi.
🤣🤣We fala akili yako imefika ambako mie sijamaanisha hivyo japo ndio ipo HIVYO. 😂Naunga mkono hoja😊
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hehehe mchaga na wali maharage...
Ukweli ndio huo.Kwa hiyo tunakubaliana kuwa hata nonino ni sawa tu mtu kukinai🤣🤣
Halafu hizo Dagaa ziwekwe Karanga ya kusaga na siyo nazi... Uchanganye Bamia au nyanya chungu....Ugali dagaa wa mwanza
Ndizi nyama
Chips kavu
Mihogo na dagaa au mishikaki weee!
Pepsi [emoji28]
Wapi Perege sasa?[emoji1787]•Wali maharage
•Makande
Utaniponza nile ugali usiku 😂Halafu hizo Dagaa ziwekwe Karanga ya kusaga na siyo nazi... Uchanganye Bamia au nyanya chungu....
Jamani jamani[emoji39][emoji39]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni balaa jamani....Utaniponza nile ugali usiku [emoji23]
Mh, kiburu kuna wapishi wazuri siku hizi?!Ndizi nyama...
Ugali Dagaa wa Mwanza..
Wali Maharage...
Kiburu.
Tena perege wa nyumba ya mungu🤣Wapi Perege sasa?[emoji1787]
Supu ya panya.
Bibi yangu, Mama yangu...Hawana mpinzani...Mh, kiburu kuna wapishi wazuri siku hizi?!
Naaaaaam!!![emoji1][emoji1][emoji1]Tena perege wa nyumba ya mungu[emoji1787]
Za kupika, kukaanga au kuchomaNdosa
Mimi hiki chakula kimenishinda jamaniUwiiii [emoji2960][emoji2960]
View attachment 2888361
Za kukaanga 😋😋Za kupika, kukaanga au kuchoma