Pombekali pia ziangaliwe
 
Umevuta kushabu Mkuu ukakimbilia kufungua Uzi Zipo bangi standard tunakula wenye pesa na wasanii wakubwa we unakula bangi ya morogoro unakuja kuandika pumba
Hhhhhhhh heri apige pushabu huyo anaonekana kichwa panzi ukimpa kitu chenyewe ataanza kucheka Cheka ovyoo
 
Sigara ina mazara ila karibia watu wengi wanafanya kazi za kutumia nguvu nyingi sigara ndio kama energy booster kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…