Pre GE2025 Upendo Peneza aeleza sababu za kuondoka kwake CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nadhani haikuwa mdahalo Bali alialikwa yeye kwenye kipindi. Hata watu wa cdm tumekuwa tukiwaona wakialikwa bila uwepo wa watu wa vyama vingine. Hiyo Redio ipo, mwanacdm yoyote aliyeona upotoshaji anaweza kwenda na kuweka rekodi sawa.
Hakuna haja ya kuweka rekodi sawa. Kukimbizana na mwehu ni kumpa milage asiyostahili.
 
Huo ndio utaratibu wa chama ambao alipaswa kuufuata. Na anasema hakuwa na tatizo na kutoa hiyo pesa, bali matumizi hayakuendana na malengo.
Matumizi gani?. Aache porojo.
 
Umeongea uongo. Mambo ya CCM usilete CHADEMA. CCM ndio hawaachiani glasi ya maji.
 
Punguza roho mbaya na wivu.
 

..nilichogundua amekwenda Ccm kutafuta nafasi.
 
Naona mnaokoteza vihabari maana mkutano wa CHADEMA umekuwa wa Siri
 
Asingeweza; hakuwa na mamlaka hayo. Teknik ya hayati JPM ya kuufuta upinzani ilikuwa ni utendaji kazi uliotukuka, uliokuwa unapelekea wapinzani wahame wenyewe kutoka upinzani kurudi CCM
 
Una maoni gani kuhusu rais wa sasa wa Uturuki, wa China na wa Urusi ?
 
Asingeweza; hakuwa na mamlaka hayo. Teknik ya hayati JPM ya kuufuta upinzani ilikuwa ni utendaji kazi uliotukuka, uliokuwa unapelekea wapinzani wahame wenyewe kutoka upinzani kurudi CCM
Mamlaka ya kupora uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kwa nchi nzima aliyatoa ?
 
Kwenye matusi hawana mpinzani. CHADEMA ni chama cha matusi.
 
Dada anafunguka vibaya huko clouds FM kuhusu mambo ya cdm. Anamuanika Mbowe hadharani.
Kwani. Huyu upendo analiwa na nani huko ccm tuanzie hapo

Kuna Uzi humu unasema ili kupata umaarufu ccm watukane cdm

Kama cdm na mbowe hawako serious na issue ya covid ndo sababu ya yeye kuondoka cdm?

Ina maana mwenyekiti wa cdm ndo signatory wa accounts zote za chama??
 
CHADEMA wavumilie kwasababu wao ndo wamemfundisha huyo Peneza matusi. CHADEMA ni chama kikuu cha matusi. Acha Peneza awape dawa.
 
Kazi kweli kweli.
 
chadema kila kukicha inazidi kujifia

ikijaribu kupata tahafifu tuh inakutana na jaka
Kama chadema inakufa kwa nini upate tabu ya kuzungumza na kilicho kufa
Kwanini usitafute waliokua hai uzungumze nao
Au na wewe umekufa
Una amua kuzungumza na maiti mwenzio
 

R.i.P Regia Mtema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…