Pre GE2025 Upinzani Senegal kuelekea ushindi, tunayo ya kujifunza?
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kiongozi akilazimisha kushiriki uchaguzi wa kihuni unampotezea, akipeleka chama kushiriki uhuni kwa ahadi za uchochoroni , atakuta wapiga kura wachache, ndio atajua watu hawataki upuuzi tena. Ifahamike nguvu ni za wananchi sio viongozi.

Kuwapotezea bila kuwakemea au hata kuwatambia kwa wakati ndiko kulikoendelea kutupotezea muda tokea 1990s. Ndiko kunakoyanya na CCM kukejeli hadharani kutawala miaka 100 mingine.

Tusisitize wengi wape kutokea vyamani.
 
KUSINGIZIA UPINZANI NI UPUUZI NA KUKWEPA KUWAJIBIKA.

Tatzo ni wananchi sio viongozi wa upinzani. Senegal waliamua kusimama na kina Sonko hata walipofungwa jela maandamano yameanza since 2019 wanaandamana kila mara yapoitishwa na yanakua maandamano kweli kweli.

Huku kina Mbowe wakiitisha maandamano hakuna anayeenda unafikiri watachukua nchi bila kuungwa mkono na wananchi? Au wakikamatwa mtaishia kuweka hashtag Mbowe sio gaidi?

Watanzania sisi ni waoga, wanafiki wanafiki na watu wanaopenda kulalamika hatuchukui hatua.

Wananchi wakiamua hata hawa CCM waibe kura watatoka tu madarakani. Wale wapuuzi kina NEpi wanajisifu bao la mkono mnawachekea halafu unakuja kulaumu wapinzani???

Stupid is , stupid does.....
 
KUSINGIZIA UPINZANI NI UPUUZI NA KUKWEPA KUWAJIBIKA.

Tatzo ni wananchi sio viongozi wa upinzani. Senegal waliamua kusimama na kina Sonko hata walipofungwa jela maandamano yameanza since 2019 wanaandamana kila mara yapoitishwa na yanakua maandamano kweli kweli.

Huku kina Mbowe wakiitisha maandamano hakuna anayeenda unafikiri watachukua nchi bila kuungwa mkono na wananchi? Au wakikamatwa mtaishia kuweka hashtag Mbowe sio gaidi?

Watanzania sisi ni waoga, wanafiki wanafiki na watu wanaopenda kulalamika hatuchukui hatua.

Wananchi wakiamua hata hawa CCM waibe kura watatoka tu madarakani. Wale wapuuzi kina NEpi wanajisifu bao la mkono mnawachekea halafu unakuja kulaumu wapinzani???

Stupid is , stupid does.....
Kusingizia wananchi ni upuuzi wananchi wanatakiwa kuongozwa.

Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama

Hivi ulipata kujiuliza hivi vyama vinasimamia nini?
 
Kusingizia wananchi ni upuuzi wananchi wanatakiwa kuongozwa.

Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama

Hivi ulipata kujiuliza hivi vyama vinasimamia nini?
Unaandika nyuzi kikasuku bila kujitahidi kusoma kuwa well informed....

Falsafa ya CDM ni NGUVU YA UMMA.

Itikadi ni mrengo wa kati....

Sasa kama mvivu kusoma siwezi kukusaidia.

Bila uma hakuna chama chochote.
Uma ndio wenye maamuzi vyama vinaunganisha ile nguvu ya uma.

For your information rais mteule wa Senegal amegombea kama mgombea binafsi baada ya chama chao kufutwa na serikali dhalimu kama ya CCM.....
 
Walishindwa kuing'oa ccm wakati wa kikwete, Mungu si Athumani, kawapa nafasi ya pili na ya mwisho. Wakishindwa na 2025, wallah ndo basi tena!
ccm is at the weakest point ever since its creation.
Wananchi wanaonesha kila dalili ya kuichoka.
Uku kwetu wapinzani wana ibembeleza CCM na serikali yake iandike katiba mpya!!

Yaani badala ya kuhamasisha Wananchi kiikataa CCM ili kuchagiza Mapinduzi ya kisiasa ili baadaye CCM iking'oka ndipo tuandike upya katiba ya nchi yetu.

Yaani ni sawa na kumbembeleza shetani akubali kuacha kitabu chake cha ulozi na akubali kutumia biblia na kuruani!
 
Anyway, Tz bado hatujapata upinzani wa kueleweka.
Bado tuna upinzani "rangi mbili". Tuna wapinzani wanaokula upinzani na kulala ccm.
 
Sonko, Faye na wengi wengine wametokea magerezani vitani dhidi ya watawala:

Vita dhidi ya watawala haviwezi kuwa vya maelewano.

CCM yupi ataridhiana na nani ili kwamba atoke madarakani?

Labda tu ili ajisimike madarakani kisawa sawa!

View attachment 2944574
View attachment 2944607
----
Opposition leader Bassirou Diomaye Faye has emerged as favourite to win Senegal's presidential election, after several rivals conceded.

Millions took part in a peaceful vote on Sunday, following three years of turbulence and opposition protests against the incumbent, Macky Sall.

Voters had a choice of 19 candidates.

However, the ruling coalition's choice, Amadou Ba, rejected reports of defeat and said he expected to contest a run-off vote to decide a winner.

Mr Faye, 44, a member of the Pastef party led by Ousmane Sonko, had been in jail only days before the vote. Mr Sonko was disqualified from the race because of a defamation conviction.

The first set of tallies announced on television showed Mr Faye had won the majority of votes, triggering widespread street celebrations in the capital Dakar.

Supporters set off fireworks, waved Senegalese flags and blew vuvuzelas.

The results also led to five opposition candidates declaring Mr Faye the winner. Anta Babacar Ngom, one of the front-runners, wished Mr Faye success in a statement.

Mr Sonko backed Mr Faye, the co-creator of his now dissolved Pastef party, who was also detained almost a year ago on charges including defamation and contempt of court.

An amnesty law passed this month allowed their release days before the vote.

They have campaigned together under the banner "Diomaye is Sonko". Some high-profile politicians and opposition candidates have backed Mr Faye's candidacy.

"The population is choosing between continuation and rupture," Mr Faye said after casting his vote, urging contenders to accept the winner.

Prepare for run-off

Mr Sall, the incumbent, was not on the ballot for the first time in Senegal's history. His ruling coalition picked Mr Ba, 62, a former prime minister.

Mr Ba's campaign said that "considering the feedback of the results from our team of experts, we are certain that, in the worst case scenario, we will go to a run-off".

About 7.3 million people were registered to vote in the country of around 18 million.

It is not clear how many of the 15,633 polling stations have been counted so far. Final provisional results are expected by Tuesday.

The election had been due to take place last month but Mr Sall postponed it, triggering deadly opposition protests.

Source: BBC
Sidhani kama upinzani kushinda ni ishu ya msingi Kwa maisha ya watu labda Kwa Chadema.

Macky Sall alikuwa mpinzani ila hoi

Chakwera wa Malawi mpinzani ila uchumi hoi

Ruto wa Kenya Mpinzani ila Uchumi hoi ,anaitwa Vasco da gama wa Kenya 😁😁

Hichilema wa Zambia Mpinzani ila Uchumi hoi hawataki hata kumsikia saizi.

Akufo Addo Mpinzani ila Ghana imefilisika kiuchumi

My Take: Ni mjinga tuu ndio atawaza kwamba mwanasiasa atabadilisha maisha yake.

Mwanasiasa hagawi pesa Bali atafanya Yale basics tuu ambayo Kila Rais anafanya ,swala la maisha ni individual effort
 
Unaandika nyuzi kikasuku bila kujitahidi kusoma kuwa well informed....

Falsafa ya CDM ni NGUVU YA UMMA.

Itikadi ni mrengo wa kati....

Sasa kama mvivu kusoma siwezi kukusaidia.

Bila uma hakuna chama chochote.
Uma ndio wenye maamuzi vyama vinaunganisha ile nguvu ya uma.

For your information rais mteule wa Senegal amegombea kama mgombea binafsi baada ya chama chao kufutwa na serikali dhalimu kama ya CCM.....

Kasuku mbona ni wewe? Nguvu ya umma? Mrengo wa kati? Nini maana ya mawili hayo? Acha kukariri kama kasuku ndugu.

Kwani kwa mfano, nini misimamo ya Chadema kuhusu:

1. Vita vya Ukraine?
2. Vita vya Gaza?
3. Haki za ma LGBTQ?
4. Mgogoro wa Palestina na Israel?
5. HAMAS?

Chama chenye falsafa inayoeleweja hakiwezi kukosa msimamo wa wazi katika mambo yote yakiwamo machache hayo.
 
Sidhani kama upinzani kushinda ni ishu ya msingi Kwa maisha ya watu labda Kwa Chadema.

Macky Sall alikuwa mpinzani ila hoi

Chakwera wa Malawi mpinzani ila uchumi hoi

Ruto wa Kenya Mpinzani ila Uchumi hoi ,anaitwa Vasco da gama wa Kenya 😁😁

Hichilema wa Zambia Mpinzani ila Uchumi hoi hawataki hata kumsikia saizi.

Akufo Addo Mpinzani ila Ghana imefilisika kiuchumi

My Take: Ni mjinga tuu ndio atawaza kwamba mwanasiasa atabadilisha maisha yake.

Mwanasiasa hagawi pesa Bali atafanya Yale basics tuu ambayo Kila Rais anafanya ,swala la maisha ni individual effort

Huko Malawi, Senegal, Zambia au Kenya wananchi wenye makasiriko unaowaongelea ni aina ya kina chikwete, Bashite, yule wa goli la mkono, Supika, Shabaya au kibajaji baada ya CCM kutunguliwa?
 
Huko Malawi, Senegal, Zambia au Kenya wananchi wenye makasiriko unaowaongelea ni aina ya kina chikwete, Bashite, yule wa goli la mkono, Supika, Shabaya au kibajaji baada ya CCM kutunguliwa?
Unamdanganya nani labda? Tufanye ndio hivyo eheee washabiki wa upinzani wamepata nini baada ya Wapinzani kushinda? Maana Heri na Vyama tawala.

Mwisho kama wewe hunufaiki ni mfumo wa siasa na unaendeshwa nao basi jua wewe ni mpumbavu na hunitambui.
 
Unamdanganya nani labda? Tufanye ndio hivyo eheee washabiki wa upinzani wamepata nini baada ya Wapinzani kushinda? Maana Heri na Vyama tawala.

Mwisho kama wewe hunufaiki ni mfumo wa siasa na unaendeshwa nao basi jua wewe ni mpumbavu na hunitambui.

Mpumbavu ni wewe ndugu ndiyo maana unadhani yupo utakaye mchuuza kuwa Zambia, Malawi au hao uliowataja wana makasiriko mno na waliokuja. Hayo danganyaneni wenyewe Lumumba huko.

Tulipofika sisi ni hapa:



Habari ndiyo hiyo. Ukawaambie na wenzako.
 
Mpumbavu ni wewe ndugu ndiyo maana unayedhani yupo utakaye mchuuza kuwa Zambia, Malawi au hao uliowataja wana makasiriko mno na waliokuja. Hayo danganyaneni wenyewe Lumumba huko.

Tulipofika sisi ni hapa:

View attachment 2945085

Habari ndiyo hiyo. Ukawaambie na wenzako.
Hao ni nyumbu ambao Huwa mnawadanganya huko wasiojitambua wanaodhani mwanasiasa atawaletea maisha.

Unless wanafanya siasa kama ushabiki wa timu hawajitambui.
 
Hao ni nyumbu ambao Huwa mnawadanganya huko wasiojitambua wanaodhani mwanasiasa atawaletea maisha.

Unless wanafanya siasa kama ushabiki wa timu hawajitambui.
IMG_20240326_135812.jpg
 
Kila mmoja amekomaa na mambo ya Ulaya huko na Uarabuni. Wajameni hakuna anayeona ya weusi wenzetu wa Senegal?
 
Mara nyingi sana hasa sisi wa kufwata upepo tunaangalia unavumia kwenda wapi. La Senegal ni fundisho na hatupendi kuelimika kwahiyo tunajificha kwenye kioo cha Ulaya na Hamas.
 
Nimesoma kwenye vyombo vya habari kuhusu kijana wa miaka 44, kupokea nchi na kura Rais wa Senegal.

Ombi Kwa vijana wa Kitanzania, tunaomba mtutafutie kijana wa kuondoka naye 2025, mpewe nchi yenu Kwa demokrasia.

Vijana ni wengi,mliamua mtaweza.
Tupeni mgombea tafadhali!!
 
January Makamba,,##WazuriHawafiJnr##
 
Back
Top Bottom