Pre GE2025 Upinzani Senegal kuelekea ushindi, tunayo ya kujifunza?
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tuna cha kujifunza huko Senegal baada ya Chalii wa miaka 44 kuelekea kuchukua Nchi.( Uraisi) kilichonivutia zaidi ni namna Wananchi wa Taifa lile walivyo naujasiri kumkabili bila woga Raisi aliyekuwa madarakani pale alipotishia kuahirisha Uchaguzi. Maandamano bila kikomo yalimfanya asaliti amri nakupelekea kutangazwa tarehe ya uchaguzi.
 
Kila mmoja amekomaa na mambo ya Ulaya huko na Uarabuni. Wajameni hakuna anayeona ya weusi wenzetu wa Senegal?
Miafrica ni bure kabisa bro. Imagine hapo Sudan wanauana kama kuku
 
Sonko, Faye na wengi wengine wametokea magerezani vitani dhidi ya watawala:

Vita dhidi ya watawala haviwezi kuwa vya maelewano.

CCM yupi ataridhiana na nani ili kwamba atoke madarakani?

Labda tu ili ajisimike madarakani kisawa sawa!

View attachment 2944574
View attachment 2944607
----
Opposition leader Bassirou Diomaye Faye has emerged as favourite to win Senegal's presidential election, after several rivals conceded.

Millions took part in a peaceful vote on Sunday, following three years of turbulence and opposition protests against the incumbent, Macky Sall.

Voters had a choice of 19 candidates.

However, the ruling coalition's choice, Amadou Ba, rejected reports of defeat and said he expected to contest a run-off vote to decide a winner.

Mr Faye, 44, a member of the Pastef party led by Ousmane Sonko, had been in jail only days before the vote. Mr Sonko was disqualified from the race because of a defamation conviction.

The first set of tallies announced on television showed Mr Faye had won the majority of votes, triggering widespread street celebrations in the capital Dakar.

Supporters set off fireworks, waved Senegalese flags and blew vuvuzelas.

The results also led to five opposition candidates declaring Mr Faye the winner. Anta Babacar Ngom, one of the front-runners, wished Mr Faye success in a statement.

Mr Sonko backed Mr Faye, the co-creator of his now dissolved Pastef party, who was also detained almost a year ago on charges including defamation and contempt of court.

An amnesty law passed this month allowed their release days before the vote.

They have campaigned together under the banner "Diomaye is Sonko". Some high-profile politicians and opposition candidates have backed Mr Faye's candidacy.

"The population is choosing between continuation and rupture," Mr Faye said after casting his vote, urging contenders to accept the winner.

Prepare for run-off

Mr Sall, the incumbent, was not on the ballot for the first time in Senegal's history. His ruling coalition picked Mr Ba, 62, a former prime minister.

Mr Ba's campaign said that "considering the feedback of the results from our team of experts, we are certain that, in the worst case scenario, we will go to a run-off".

About 7.3 million people were registered to vote in the country of around 18 million.

It is not clear how many of the 15,633 polling stations have been counted so far. Final provisional results are expected by Tuesday.

The election had been due to take place last month but Mr Sall postponed it, triggering deadly opposition protests.

Source: BBC
Vijana amkeni - kama alivyokuwa anasema Mtikila - saa ya ukombozi ni sasa
 
wananchi wakiona huna msimamo wanaona bado awajapata watu wakuwakomboa.
Hata ukiwa na msimamo kwa sisi bado sana tuna kuuma na kupuliza kusema ukweli hatuko ktk mstari tunaoukubali mabadiliko , wakutuamsha bado hajazaliwa, sijaweza kuona udhabiti wa kutoka moyoni ktk mageuzi toka kwetu kwenda kwa viongozi ima wawe waliopo serekalini au wa vyama visivyo madarakani.
 
Wapinzani ni watu/wananchi ambao kwa sasa nchini kwetu wamesusia kushiriki harakati za kutaka mabadiliko kutokana na kukatishwa tamaa. Serikali iliyopita ya Marehemu ilifanya kazi mbaya na chafu sana ya kuua vuguvugu la mabadiliko kwa kuharibu chaguzi zote kwa kutumia polisi,usalama wa taifa na jeshi.

Hakuna chama kinaweza leta mabadiliko ya kisiasa bila mwamko wa wananchi kutaka mabadiliko hayo . Mzee Magufuli alirudisha nyuma harakati za kisiasa kwa miaka 10 au zaidi . Aliweza kuahirisha msiba wa CCM kutoka madarakani lakini bado upo,kama yeye alivyo kufa basi hata chama dola kitakufa pia .
 
1. Kazi ipo.

2. Miaka 30 sasa mapori tofauti nyani wale wale.

3. Tumeshindwa kujifunza.

4. Nyuzi kama hizi hupita juu kwa juu wakijisemea: "hiiiiii .. III!"
Rafiki yako Zitto unapingana naye leo ?

Rais wa sasa wa Senegal alishinda urais akiwa upinzani kuna jipya lipi kwenye uchaguzi wa juzi.

Kama Tume yenyewe inashiriki kuumiza wagombea wa upinzani itaweza kutangaza?

Senegal Mark Sall Alitaka kujiongeza muda Baraza la Katiba likagoma hapa nchini tunatasisi ya kufanya hivyo dhidi ya Rais?

Wananchi wa Senegal walishaingia sana road kupinga uvunjifu wa katiba hapa nchini tunao hao watu ?

Watu wameumizwa kwenye chaguzi 2020 halafu rafiki yako Zitto akaenda kuungana nao kuunda serikali Zanzibar mapambano unayotaka yatafanikiwa ?
 
1. Kazi ipo.

2. Miaka 30 sasa mapori tofauti nyani wale wale.

3. Tumeshindwa kujifunza.

4. Nyuzi kama hizi hupita juu kwa juu wakijisemea: "hiiiiii .. III!"
Rafiki yako Zitto unapingana naye leo ?

Rais wa sasa wa Senegal alishinda urais akiwa upinzani kuna jipya lipi kwenye uchaguzi wa juzi.

Kama Tume yenyewe inashiriki kuumiza wagombea wa upinzani itaweza kutangaza?

Senegal Mark Sall Alitaka kujiongeza muda Baraza la Katiba likagoma hapa nchini tunatasisi ya kufanya hivyo dhidi ya Rais?

Wananchi wa Senegal walishaingia sana road kupinga uvunjifu wa katiba hapa nchini tunao hao watu ?

Watu wameumizwa kwenye chaguzi 2020 halafu rafiki yako Zitto akaenda kuungana nao kuunda serikali Zanzibar mapambano unayotaka yatafanikiwa ?
 
Rafiki yako Zitto unapingana naye leo ?

Rais wa sasa wa Senegal alishinda urais akiwa upinzani kuna jipya lipi kwenye uchaguzi wa juzi.

Kama Tume yenyewe inashiriki kuumiza wagombea wa upinzani itaweza kutangaza?

Senegal Mark Sall Alitaka kujiongeza muda Baraza la Katiba likagoma hapa nchini tunatasisi ya kufanya hivyo dhidi ya Rais?

Wananchi wa Senegal walishaingia sana road kupinga uvunjifu wa katiba hapa nchini tunao hao watu ?

Watu wameumizwa kwenye chaguzi 2020 halafu rafiki yako Zitto akaenda kuungana nao kuunda serikali Zanzibar mapambano unayotaka yatafanikiwa ?

Huu urafiki unaonivesha na Zitto ni Kwa sababu tu alikukera mno kuachia kiti muda wake ulipokuwa umeisha?

Kwamba ujasiri wa watu kukomaa road hautokani na ushupavu wa kina Sonko na kina Faye?

Bila shaka hatuna lolote la kujifunza kutoka kwa kina Sonko Wala Faye.

Kwetu kuna na ustaa siasani.
 
Wapinzani hawakuanza kushinda Leo Africa nini kimebadilika check Malawi,Zambia, Kenya,liberia nk matatizo ya Africa sio uchaguzi.
Ni mfumo
 
Huu urafiki unaonivesha na Zitto ni Kwa sababu tu alikukera mno kuachia kiti muda wake ulipokuwa umeisha?

Kwamba ujasiri wa watu kukomaa road hautokani na ushupavu wa kina Sonko na kina Faye?

Bila shaka hatuna lolote la kujifunza kutoka kwa kina Sonko Wala Faye.

Kwetu kuna na ustaa siasani.
Mbowe alikaa mahabusu kwa miezi 6.

Alihukumiwa kesi nyingine kulipa faini milioni 70.

Alinyimwa dhamana akiwa na Matiko akakaa mahabusu miezi 4.

Alivunjwa mguu akiwa Dodoma na alifirisiwa Mali nyingi tu.

Lissu alishitakiwa kwa kesi za kisiasa tangu 1998 kwa sababu ya siasa na risasi akachapwa, akavuliwa ubunge kihuni, akatimkia ughaibuni.

Na wanasiasa wenzao wengi wakatimkia ughaibuni kwa masaibu yaliyowazi kabisa.

Hivi haya bado unaona ni madogo kwao kufanyiwa hadi uwaweke kwenye viatu vya kina Faye na Sonko tu ?

Hauwezi kuwa serious
 
Wapinzani hawakuanza kushinda Leo Africa nini kimebadilika check Malawi,Zambia, Kenya,liberia nk matatizo ya Africa sio uchaguzi.
Ni mfumo
Hapo hapo Senegal rais Sall alishinda urais akiwa upinzani
 
Mbowe alikaa mahabusu kwa miezi 6.

Alihukumiwa kesi nyingine kulipa faini milioni 70.

Alinyimwa dhamana akiwa na Matiko akakaa mahabusu miezi 4.

Alivunjwa mguu akiwa Dodoma na alifirisiwa Mali nyingi tu.

Lissu alishitakiwa kwa kesi za kisiasa tangu 1998 kwa sababu ya siasa na risasi akachapwa, akavuliwa ubunge kihuni, akatimkia ughaibuni.

Na wanasiasa wenzao wengi wakatimkia ughaibuni kwa masaibu yaliyowazi kabisa.

Hivi haya bado unaona ni madogo kwao kufanyiwa hadi uwaweke kwenye viatu vya kina Faye na Sonko tu ?

Hauwezi kuwa serious

1. Sijui ni wapi unaponisoma kiasi cha kuwa na mashaka na seriousness yangu.:

Lissu ndilo tegemeo tulilo nalo kwenye kuikomboa nchi hii sasa

2. Bila kusahau kwamba, mtu kuwa upinzani leo hakuna maana ya kuwa malaika; hata kina na Lipumba walivunjwa mikono.

3. Kumbuka Sali alikuwa mpinzani pia.

4. Kuwa mpinzani na kukengeuka popote njiani hakukupi leseni ya credibility ile Ile ya awali, milele.

5. Hili ndilo somo ambalo hata kwetu wa kwetu wanapaswa kujifunza.

6. Lissu, Mdude na wa aina hiyo nani mwenye neno juu yao hadi wa leo?
 
Back
Top Bottom