passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Wewe unajuaje hayo?Russian oligarchy ambayo wengi ni wayahudi hawamtaki tena putin na watamg'oa kwa vyovyote vile
Slava UkraineUelekeo Moscow hadi saa 6 usiku watu washatimba.
Ni either Russia aharibu nchi yake au akubali kupinduliwa
Hakika hakuna aijuwaye kesho.Kabla hajafanywa ngoja awafanye.
Kumbuka hii ni vita ndani ya Urusi, hakuna kurusha kombora nzito mtaua raia wenu, anzeni kujipaka mafuta kitu ya moto inakuja kunako😂😂😂..
Hasa wewe MakinikiA umekua na kiherehere sana, sasa bawanako anakwenda na maji🤣🤣🤣
Wapi lile li Sikirimimimasikini 😂😂😂
Unasoma unachoandika mkuu?Israel ina askari wangapi? Zile nchi zote za Kiarabu zilizoungana ili kumpiga myahudi, lakini zikatandikwa zote, zilikuwa na askari wangapi? Zilikuwa na ndege ngapi? Vifaru na mizinga mingapi?
Ushindi katika vita ni zaidi ya idadi ya askari. Wale wapiganaji wa Wagner, ni really professional, siyo kama wale wa jeshi la Urusi.
Ni kichaa tu anayefikiri hao Wagner wanaweza kuipindua serikali.
Endelea kuota. Wagner wanaendelea kuua askari wa serikali. Helikopta ya askari wa jeshi imedunguliwa na kuteketezwa. Marubani wote wawili wameuawa. Wewe bado unaamini ni maagizo!!Jasusi mbobezi wa Kimataifa. Mtaalamu wa Vita na Diplomasia. Mwanasiasa Mkongwe na Mwanamikakati anaweza kutuelezea zaidi hii Mbinu wanayotumia Russia kitaalamu inaitwaje.
Hii Warussi wame bwinu mbwinu mpya ya kivita kuwachanganya Ukraine na Mabeberu. Wataenda kupokea kipigo kikali. Ina jina lake kitaalamu na Yericko Nyerere anaweza elezea hii kwa kina mkamwelewa.
Huyu Mzee (Putin) amekuwa na mwisho mbaya mno.....kweli mshahara wa dhambi ni mauti tu.Hawa askari wa jeshi la Urusi huenda wamepangwa. Wanarusha risasi chache hewani, halafu wanasalimu amri. Wagner, wanazidi kusonga mbele.
Katika Ulimwengu huu, huwezi kusababisha maafa ya watu wengi namna hiyo, halafu uendelee kuishi. Ni lazima mwisho wako uwe mbaya. Na mwisho wa Putin umefika.
Kuna nchi chache zilikuwa zinamwunga mkono, lakini hapa ndiyo atajua kuwa kumbe hakuwa na rafiki wa kweli.
Mchina na India alikuwa karibu na Putin ili ajipatie mafuta kwa bei chee. Likashenko wa Belarus alikuwa karibu na Putin ili amsaidie aendelee kubakia kwenye Urais kwa sababu wananchi wake hawamtaki. Nchi za Afrika ndiyo hakuna kitu kabisa. Zilizokuwa zinamwunga mkono Putin, zilikuwa zinanyemelea manufaa ya kiuchumi. Putin anaweza kutafuta nchi ya kwenda kujificha, ukashangaa hakuna nchi ya kumpa hifadhi, au baada ya kumpa hifadhi wakamkabidhi kwa mahakama ya The Hague.
Glenn huddle, Glenn close. Himself!Kabla hajafanywa ngoja awafanye.
Kumbuka hii ni vita ndani ya Urusi, hakuna kurusha kombora nzito mtaua raia wenu, anzeni kujipaka mafuta kitu ya moto inakuja kunako😂😂😂..
Hasa wewe MakinikiA umekua na kiherehere sana, sasa bawanako anakwenda na maji🤣🤣🤣
Wapi lile li Sikirimimimasikini 😂😂😂
Hawapendi shari ..😄😄
Sema mzee wa Ebeltoft😁😁Glenn huddle, Glenn close. Himself!
Ubavu huo hawana ila wewe unaota kuwa wanaweza
Lazima kuna watu wengi wapo nyuma ya Wagner. Anajua kabisa akiingia Moscow, mengi yatatokea. Putin amekwishahisi Urais wake unatafutwa. Kwenye hotuba yake amesema kwamba watu wanafanya maasi kwaajili ya tamaa ya madaraka.Yapu,ndo alikuwa muonja chakula kabla Putin hajakula.Walisafiri wote mara kibao.Mpaka leo migahawa ya Prigozhin ndo inahudumia Kremlin. Na huku Africa Wagner anashikilia baadhi ya nchi kwa mkono wa Putin. Sasa hapo ninajiuliza ina maana Prigo anaitamani nafasi ya Putin?
Intelijensia inaweza kuamua ndivyo sivyo katika aspects zote hizo ulizoainisha1. Mpaka hiyo coup itokee na ifanikiwe....
2. Na tofauti zao zote wanachofanana ni kitu kimoja, they all hate the West.
3. Unclear mpaka sasa nini kinaendelea, sababu hakujawahi na Coup ya hivi duniani ( nilizofanikiwa kuzisoma).
Nani ameipeleka mkuu?Mifumo ya ulinzi wa anga ya S-400 ya Urusi imepelekwa mji wa RostovView attachment 2667570
Tema chiniWalahi akitoka kwenye bunker watamgeuza qibla.
Wameteka makao makuu ya jeshi yanayotumika kuongoza vita dhidi ya Ukraine. Hii inahusisha magahala ya silaha. Hii kambi, yumkini itakuwa ndiyo yenye silaha nyingi sana. Wagner wanajiamini sana kwa sababu wanajua wana uwezo mkubwa wa kupambana na jeshi la Serikali.Rostov ndiyo main ya Russia supply kwenda Ukraine
Rostov imechukuliwa na Wagner
Putin kwa maneno yake mwenyewe kasema Rostov hali ni ngumu sana
We unatokea huko ulipo unasema watakosa silaha
Ni vyema sana kucheza fair kila wakati.Hakika hakuna aijuwaye kesho.
Jiulize ametokaje tokaje huko bila kashkash hadi karibia na MoscowLazima kuna watu wengi wapo nyuma ya Wagner. Anajua kabisa akiingia Moscow, mengi yatatokea. Putin amekwishahisi Urais wake unatafutwa. Kwenye hotuba yake amesema kwamba watu wanafanya maasi kwaajili ya tamaa ya madaraka.
Ni nini hiki umeandika mkuu?Tema chini
Putin akitakiwa kuchinjwa na Wagner hawezi elekezwa Kibla uso wake Allah asije msamehe madhambi yake ataekekezwa upande usio wa Kibla
Kibla huelekeza nyuso zao watukufu wakiswali nk sio mtu kama Putin
Putin akichinjwa kisogo ndio kielekee kibla sio uso
Takbiriiiiiiiiii