Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Kabla hajafanywa ngoja awafanye.
Kumbuka hii ni vita ndani ya Urusi, hakuna kurusha kombora nzito mtaua raia wenu, anzeni kujipaka mafuta kitu ya moto inakuja kunako😂😂😂..
Hasa wewe MakinikiA umekua na kiherehere sana, sasa bawanako anakwenda na maji🤣🤣🤣

Wapi lile li Sikirimimimasikini 😂😂😂
Hakika hakuna aijuwaye kesho.
 
Israel ina askari wangapi? Zile nchi zote za Kiarabu zilizoungana ili kumpiga myahudi, lakini zikatandikwa zote, zilikuwa na askari wangapi? Zilikuwa na ndege ngapi? Vifaru na mizinga mingapi?

Ushindi katika vita ni zaidi ya idadi ya askari. Wale wapiganaji wa Wagner, ni really professional, siyo kama wale wa jeshi la Urusi.
Unasoma unachoandika mkuu?
Wagner proffessionals alafu Russians sio, na wote ni Russians ( mainly ). Trained under the same doctrine.

Wagner commanders ni former RUAF commanders.
 
Jasusi mbobezi wa Kimataifa. Mtaalamu wa Vita na Diplomasia. Mwanasiasa Mkongwe na Mwanamikakati anaweza kutuelezea zaidi hii Mbinu wanayotumia Russia kitaalamu inaitwaje.

Hii Warussi wame bwinu mbwinu mpya ya kivita kuwachanganya Ukraine na Mabeberu. Wataenda kupokea kipigo kikali. Ina jina lake kitaalamu na Yericko Nyerere anaweza elezea hii kwa kina mkamwelewa.
Endelea kuota. Wagner wanaendelea kuua askari wa serikali. Helikopta ya askari wa jeshi imedunguliwa na kuteketezwa. Marubani wote wawili wameuawa. Wewe bado unaamini ni maagizo!!

Nadhani hata siku Putin akiuawa, mtasema anaigiza kufa.
 
Hawa askari wa jeshi la Urusi huenda wamepangwa. Wanarusha risasi chache hewani, halafu wanasalimu amri. Wagner, wanazidi kusonga mbele.

Katika Ulimwengu huu, huwezi kusababisha maafa ya watu wengi namna hiyo, halafu uendelee kuishi. Ni lazima mwisho wako uwe mbaya. Na mwisho wa Putin umefika.

Kuna nchi chache zilikuwa zinamwunga mkono, lakini hapa ndiyo atajua kuwa kumbe hakuwa na rafiki wa kweli.

Mchina na India alikuwa karibu na Putin ili ajipatie mafuta kwa bei chee. Likashenko wa Belarus alikuwa karibu na Putin ili amsaidie aendelee kubakia kwenye Urais kwa sababu wananchi wake hawamtaki. Nchi za Afrika ndiyo hakuna kitu kabisa. Zilizokuwa zinamwunga mkono Putin, zilikuwa zinanyemelea manufaa ya kiuchumi. Putin anaweza kutafuta nchi ya kwenda kujificha, ukashangaa hakuna nchi ya kumpa hifadhi, au baada ya kumpa hifadhi wakamkabidhi kwa mahakama ya The Hague.
Huyu Mzee (Putin) amekuwa na mwisho mbaya mno.....kweli mshahara wa dhambi ni mauti tu.

Tatizo hata wakimtoa bado hiyo power struggle hapo Moscow itabakia tu hasa nani awe mrithi wake.

Nadhani kutakuwa na 'powerful figures' nyuma ya Wagner kusukuma hii 'move'.....Ila njia bora ya kumaliza Vita ni kumn'goa tu Putin

T14 Armata
 
Special force wakijiandaa kuwakabili Wagner mji mkuu Moscow
E0F71B51-A3E0-4139-B861-285C884D8BFF.jpeg
 
Kabla hajafanywa ngoja awafanye.
Kumbuka hii ni vita ndani ya Urusi, hakuna kurusha kombora nzito mtaua raia wenu, anzeni kujipaka mafuta kitu ya moto inakuja kunako😂😂😂..
Hasa wewe MakinikiA umekua na kiherehere sana, sasa bawanako anakwenda na maji🤣🤣🤣

Wapi lile li Sikirimimimasikini 😂😂😂
Glenn huddle, Glenn close. Himself!
 
Yapu,ndo alikuwa muonja chakula kabla Putin hajakula.Walisafiri wote mara kibao.Mpaka leo migahawa ya Prigozhin ndo inahudumia Kremlin. Na huku Africa Wagner anashikilia baadhi ya nchi kwa mkono wa Putin. Sasa hapo ninajiuliza ina maana Prigo anaitamani nafasi ya Putin?
Lazima kuna watu wengi wapo nyuma ya Wagner. Anajua kabisa akiingia Moscow, mengi yatatokea. Putin amekwishahisi Urais wake unatafutwa. Kwenye hotuba yake amesema kwamba watu wanafanya maasi kwaajili ya tamaa ya madaraka.
 
Walahi akitoka kwenye bunker watamgeuza qibla.
Tema chini

Putin akitakiwa kuchinjwa na Wagner hawezi elekezwa Kibla uso wake Allah asije msamehe madhambi yake ataekekezwa upande usio wa Kibla

Kibla huelekeza nyuso zao watukufu wakiswali nk sio mtu kama Putin

Putin akichinjwa kisogo ndio kielekee kibla sio uso.Uso wake utaelekezwa almaruhuni shwaitani anaishi sio kibla


Takbiriiiiiiiiii
 
Rostov ndiyo main ya Russia supply kwenda Ukraine

Rostov imechukuliwa na Wagner

Putin kwa maneno yake mwenyewe kasema Rostov hali ni ngumu sana

We unatokea huko ulipo unasema watakosa silaha
Wameteka makao makuu ya jeshi yanayotumika kuongoza vita dhidi ya Ukraine. Hii inahusisha magahala ya silaha. Hii kambi, yumkini itakuwa ndiyo yenye silaha nyingi sana. Wagner wanajiamini sana kwa sababu wanajua wana uwezo mkubwa wa kupambana na jeshi la Serikali.
 
Hakika hakuna aijuwaye kesho.
Ni vyema sana kucheza fair kila wakati.
Tuliwaonya hawa Warusi wa Makunduchi na kwa Mpalange kuwa wasifurahie watu kuuawa Ukraine.

Waliishia kutuita majina mabaya mara tuhusishwe na upinde ...fambaf zao leo wote wameficha sijda zao huku wakijipaka mafuta kujiandaa kupelekewa moto🤣

DeepPond simuoni
Jamaa yangu @exrovert yeye ana like kimya kimya 🤣🤣🤣
 
Lazima kuna watu wengi wapo nyuma ya Wagner. Anajua kabisa akiingia Moscow, mengi yatatokea. Putin amekwishahisi Urais wake unatafutwa. Kwenye hotuba yake amesema kwamba watu wanafanya maasi kwaajili ya tamaa ya madaraka.
Jiulize ametokaje tokaje huko bila kashkash hadi karibia na Moscow
 
Tema chini

Putin akitakiwa kuchinjwa na Wagner hawezi elekezwa Kibla uso wake Allah asije msamehe madhambi yake ataekekezwa upande usio wa Kibla

Kibla huelekeza nyuso zao watukufu wakiswali nk sio mtu kama Putin

Putin akichinjwa kisogo ndio kielekee kibla sio uso


Takbiriiiiiiiiii
Ni nini hiki umeandika mkuu?
 
Back
Top Bottom