Chrysanthemum
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 1,531
- 5,787
Kupindua Russia sio kama unavyopindua pumbu ukiwa unanyoa mavuziUelekeo Moscow hadi saa 6 usiku watu washatimba.
Ni either Russia aharibu nchi yake au akubali kupinduliwa
Mzee una sympathy na Putin🤣🤣🤣Hii ni sanaa mnachezewa. Russia ni baba wa propaganda. Kuna watu wataabika soon
HahahaaaNa akapewa jina la Ole Putin
Kaibomoa Ukraine na sasa ameanza kuibomoa nchi yake mwenyewe😃Katika hali isiyo ya kawaida, jeshi la Urusi limeanza kuharibu barabara zote zinazoelekea mji wa Moscow. Tingatinga zinachimba mashimo makubwa kwenye barabara hizo ili kuzuia vifaru na silaha nzito za Wagner kufika Moscow. View attachment 2667542
HahahaaaaHuyu Chidbenz wenu sasa yuko kina kirefu
Ila kama kweli,ukizingatia hakuna reaction yeyote upande wa Russia.Muda utaongea.Hii ni sanaa mnachezewa. Russia ni baba wa propaganda. Kuna watu wataabika soon
Wapo wengi saaana ila toka wagner waliamshe wamekaa kimya, sio kawaida yao kabisa.Ni vyema sana kucheza fair kila wakati.
Tuliwaonya hawa Warusi wa Makunduchi na kwa Mpalange kuwa wasifurahie watu kuuawa Ukraine.
Waliishia kutuita majina mabaya mara tuhusishwe na upinde ...fambaf zao leo wote wameficha sijda zao huku wakijipaka mafuta kujiandaa kupelekewa moto[emoji1787]
DeepPond simuoni
Jamaa yangu @exrovert yeye ana like kimya kimya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimesikia kiongozi wa Wagner amehakikisha lazima aingie Moscow na lazima jeshi la Urusi lisambaratike.Tunasema vita haipimwi kwa wingi wa askar, vita, morale ama chochote kile ila ni kitu gani umegain.
Wagner mpaka sasa muelekeo wao na azma yao ya kuipindua serikali ni mkubwa zaidi.
Leo hawatalala na wake zao mikuyenge imelala flat fambaf kabisa😂😂😂Wapo wengi saaana ila toka wagner waliamshe wamekaa kimya, sio kawaida yao kabisa.
Hivi unaelewa maana ya kushikilia makao makuu ya kanda ya kusini. ? We kenge kweli unadhani wagner ni wajinga kama wewe unaedhani makao makuu ya jedhi kuna mikateKuna watu hawajui PMC hawawezi kusonga mbele maana hawana ndege vita hawana baadhi ya ammunition walizokuwa wanapewa na Jeshi. Hivyo cant fight RF.
Wahi ukapime afya yako ya akili, bado hazijafyatuka zote.Hii ni sanaa mnachezewa. Russia ni baba wa propaganda. Kuna watu wataabika soon
Hizi habari mnazitoa wapi?Ndege na helicopter 7 zimedondoshwa na Wagner ndani ya Russia
Watu wapo Moscow kiulaini kabisaYap ni maslahi ,sasa wataongea na Putin.Mambo yatakuwa sawa.Ila ndo faida ya kuunga mkono jeshi binafsi.Putin analipa makosa aliyofanya.
Twitter space ina wasikilizaji 100K muda huuHizi habari mnazitoa wapi?
Putin amekwisha.. Mwamba ni pandikizi LA USA, alipandikizwa kitambo sana kumsoma Putin.kwa ambao hawa mjui Prig
PRIGOZHIN
- Born 1st June, 1961 in Leningrad.
- In 1981, sentenced to twelve years imprisonment for robbery and fraud.
- Began selling hot dogs in 1990 after early release from prison.
- Expanded business operations in 1995, ran popular and successful restaurants.
- Grew closer to Putin in the 2000s, served international leaders including Chirac and George Bush.
- Became known as "Putin's chef", had received government contracts and grew increasingly wealthy.
- Established Wagner Group in 2014 to support Russian forces in the war in Donbas.
- Operations expanded to Syria and Africa, became key player in 2022 Ukraine War.
- His troops led successful campaign to take Bakhmut earlier this year.
- Now leaving rebellion against Putin and Russia's military.