Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Wakuu naomba mnieleweshe wanaposema jeshi limeteka ina maana gani ? Maana mfano wameteka mji wa kasulu na tunafahamu miji inabeba watu hata laki tatu na kuendelea na ni eneo kubwa sana ! Wanaweza kuoccupy eneo zima ? Na utasikia baadae wameenda miji mingine tena!
 
Katika hali isiyo ya kawaida, jeshi la Urusi limeanza kuharibu barabara zote zinazoelekea mji wa Moscow. Tingatinga zinachimba mashimo makubwa kwenye barabara hizo ili kuzuia vifaru na silaha nzito za Wagner kufika Moscow. View attachment 2667542
Kaibomoa Ukraine na sasa ameanza kuibomoa nchi yake mwenyewe😃
 
Ni vyema sana kucheza fair kila wakati.
Tuliwaonya hawa Warusi wa Makunduchi na kwa Mpalange kuwa wasifurahie watu kuuawa Ukraine.

Waliishia kutuita majina mabaya mara tuhusishwe na upinde ...fambaf zao leo wote wameficha sijda zao huku wakijipaka mafuta kujiandaa kupelekewa moto[emoji1787]

DeepPond simuoni
Jamaa yangu @exrovert yeye ana like kimya kimya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wapo wengi saaana ila toka wagner waliamshe wamekaa kimya, sio kawaida yao kabisa.
 
Tunasema vita haipimwi kwa wingi wa askar, vita, morale ama chochote kile ila ni kitu gani umegain.

Wagner mpaka sasa muelekeo wao na azma yao ya kuipindua serikali ni mkubwa zaidi.
Nimesikia kiongozi wa Wagner amehakikisha lazima aingie Moscow na lazima jeshi la Urusi lisambaratike.

20230624_200729.jpg

Hawa ni askali wa kikosi cha Wagner wakifanya upekuzi katika mitaa ya mji wa Rostov nchini Urusi alasiri ya leo.
 
Kuna watu hawajui PMC hawawezi kusonga mbele maana hawana ndege vita hawana baadhi ya ammunition walizokuwa wanapewa na Jeshi. Hivyo cant fight RF.
Hivi unaelewa maana ya kushikilia makao makuu ya kanda ya kusini. ? We kenge kweli unadhani wagner ni wajinga kama wewe unaedhani makao makuu ya jedhi kuna mikate
 
kwa ambao hawa mjui Prig

PRIGOZHIN

- Born 1st June, 1961 in Leningrad.

- In 1981, sentenced to twelve years imprisonment for robbery and fraud.

- Began selling hot dogs in 1990 after early release from prison.

- Expanded business operations in 1995, ran popular and successful restaurants.

- Grew closer to Putin in the 2000s, served international leaders including Chirac and George Bush.

- Became known as "Putin's chef", had received government contracts and grew increasingly wealthy.

- Established Wagner Group in 2014 to support Russian forces in the war in Donbas.

- Operations expanded to Syria and Africa, became key player in 2022 Ukraine War.

- His troops led successful campaign to take Bakhmut earlier this year.

- Now leaving rebellion against Putin and Russia's military.
Putin amekwisha.. Mwamba ni pandikizi LA USA, alipandikizwa kitambo sana kumsoma Putin.
 
Back
Top Bottom