Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Hujajibu swali unauliza swali??????Hakuna manabii ni dhana tu kama zilivyo dhana za uislamu au uyahudi au ukrsto mkuu???
Kama umesema hakuna manabii zote dhana bc maana yake hapo ulipo hakuna nabii hata mmoja unaemfaham licha ya kusema wewe mtu wa historia. Kwa maana hiyo wewe mtu wa historia za wazungu sio mtu wa historia
 
Da we jamaa mtihani kwa kwel
Tatizo binadamu hampendi ukweli ndio maana unaniona tatizo rafiki yangu????? Mimi ukinipa ushahidi wa wazi wazi,basi leo hii na mimi najiunga na hiyo dini ya waarabu mkuu..Niletee Allah nimuone,yalete majini,walete malaika,nionyeshe wale mabikira 70 wa peponi na unionyeshe jinsi quran ilivyoshushwa kwa ushahidi sio kwa maneno au masimulizi
 
Kama umesema hakuna manabii zote dhana bc maana yake hapo ulipo hakuna nabii hata mmoja unaemfaham licha ya kusema wewe mtu wa historia. Kwa maana hiyo wewe mtu wa historia za wazungu sio mtu wa historia
Kwani mkuu ili mtu awe nabii anatakiwa awe na sifa gani??
 
Mkuu; hivi ni Mungu gani akamteremshia vitabu vya kusoma mtu asiyejua kusoma? Au unataka kuniambia hapakuwepo na Msomi nyakati hizo? Ebu tuanza hapo kwanza.
 
Mkuu; hivi ni Mungu gani akamteremshia vitabu vya kusoma mtu asiyejua kusoma? Au unataka kuniambia hapakuwepo na Msomi nyakati hizo? Ebu tuanza hapo kwanza.
Afu anasema huyo ndio msomi kuliko akina Abdul kareem al majid au Sir Newton kwa uchache????
 
Kuwa updated na habari mzee.

Utaonekana 'kubwa jinga' bure
Nipe update basi Mrusi wa Tandale.Tuna mambo mengi ya msingi mi sio jobless kama wewe kiasi kwamba niset antena zangu zote kufuatilia watu walioshiba wakaanzisha vita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…