Utafiti Wangu: Watoto wengi hupenda zaidi ndugu upande wa mama kuliko upande wa baba

Utafiti Wangu: Watoto wengi hupenda zaidi ndugu upande wa mama kuliko upande wa baba

Ukiwa na hofu ya Mungu utapata hekima, sio binti. Kumcha Bwana ni chanzo cha maarifa. Nje ya hapo ni maneno ya kutoka kwa yule mwovu. Kumbe hekima ya KUMTOA BINTI AOLEWE haina jipya zaidi ya hekima ya Mungu. Tabia mbovu ya wazazi wa kisasa; wanawake ambao binti zao katika ukahaba kisha wanakuwa na mashaka kama watabaki salama kwa waume zao. Ndivyo pia wanavyolelewa vijana wa kisasa, hawajui hata majukumu ya ndoa. Matokeo yake ndoa imegeuka taasisi ya majaribio. HEKIMA INA MUNGU PEKEE.

Kwa ndoa za kisasa wazazi tumechangia sana kufanya institution ya ndoa kuwa useless si mabinti wala vijana wa kisasa wanajua maana ya ndoa zaidi ya kufanya harusi kubwa.
Binti wa kisasa anafundishwa kujihami kwa mwanaume kwa kuwa mama na bibi zake walinyanyasika, kijana wa kisasa bado anaandaliwa kizamani kuwa wanawake ni watulivu na wavumilivu kumbe sio hawa wa kizazi kipya ni balaa tupu.
Kwa majirani hapo Kuna wimbi la wanaume kuuwawa naona ndio tunakoelekea huko.
 
Ukiwa na hofu ya Mungu utapata hekima, sio binti. Kumcha Bwana ni chanzo cha maarifa. Nje ya hapo ni maneno ya kutoka kwa yule mwovu. Kumbe hekima ya KUMTOA BINTI AOLEWE haina jipya zaidi ya hekima ya Mungu. Tabia mbovu ya wazazi wa kisasa; wanawake ambao binti zao katika ukahaba kisha wanakuwa na mashaka kama watabaki salama kwa waume zao. Ndivyo pia wanavyolelewa vijana wa kisasa, hawajui hata majukumu ya ndoa. Matokeo yake ndoa imegeuka taasisi ya majaribio. HEKIMA INA MUNGU PEKEE.
Asaaaanteee kaka
 
Kwa ndoa za kisasa wazazi tumechangia sana kufanya institution ya ndoa kuwa useless si mabinti wala vijana wa kisasa wanajua maana ya ndoa zaidi ya kufanya harusi kubwa.
Binti wa kisasa anafundishwa kujihami kwa mwanaume kwa kuwa mama na bibi zake walinyanyasika, kijana wa kisasa bado anaandaliwa kizamani kuwa wanawake ni watulivu na wavumilivu kumbe sio hawa wa kizazi kipya ni balaa tupu.
Kwa majirani hapo Kuna wimbi la wanaume kuuwawa naona ndio tunakoelekea huko.
Wazazi wa, binti wanamfundisha kuwa aishi kwa ujanja ndani ya ndoa. Yaani anapoingia tu aanze kujiandaa kutoka kwani tayari wanamjua binti yao kuwa tabia zake si za mke wa ndoa. Mke anawafanya wazazi wake kuwa ndio wasiri wake, anawasikiliza wao zaidi kuliko mume wake.

Wazazi wa mume wanamfundisha kuwa usithubutu kumwamini mke kwani wengi wamewaangamiza waume zao. Mume anakuwa na mahusiano zaidi na ndugu kuliko mkewe hasa kwenye mambo ya kuijenga familia yake mwenyewe.

Sass ukitazama ujinga huu unajiuliza, kuna sababu gani ya kuingia kwenye ndoa? Sababu pekee inayobaki hapo ni kutaka kumiliki sekta ya ngono, basi. Katika hayo hapo juu hakuna mpango wa malezi bora kwani hakujalenga kuwaandalia watoto mazingira bora kwa siku zijazo. Faida pekee ni ngono tu. Watoto watakuwa kero badala ya baraka, lakini tutataka tuzae kwa sababu tu watu hawawezi kutuelewa tusipokuwa na watoto. Tutasimangwa na kuchekwa, hivyo tunazaa ili kuwaridhisha watazamaji wala si kwa sababu ya kujenga familia.

Kwa mazingira haya TANGU AWALI NDOA HAIKUWAPO. Ni malaya wawili wameamua kuishi ndani ya nyumba moja bila muunganiko halisi wa mke na mume. Tena basi wazazi wao wanajua fika kwamba hapo hakuna ndoa ndio maana wamewaandaa siku wakikorofishana wagawane mapato ya hicho kikoba, kila mtu aendelee na maisha yake binafsi.
 
Wazazi wa, binti wanamfundisha kuwa aishi kwa ujanja ndani ya ndoa. Yaani anapoingia tu aanze kujiandaa kutoka kwani tayari wanamjua binti yao kuwa tabia zake si za mke wa ndoa. Mke anawafanya wazazi wake kuwa ndio wasiri wake, anawasikiliza wao zaidi kuliko mume wake.

Wazazi wa mume wanamfundisha kuwa usithubutu kumwamini mke kwani wengi wamewaangamiza waume zao. Mume anakuwa na mahusiano zaidi na ndugu kuliko mkewe hasa kwenye mambo ya kuijenga familia yake mwenyewe.

Sass ukitazama ujinga huu unajiuliza, kuna sababu gani ya kuingia kwenye ndoa? Sababu pekee inayobaki hapo ni kutaka kumiliki sekta ya ngono, basi. Katika hayo hapo juu hakuna mpango wa malezi bora kwani hakujalenga kuwaandalia watoto mazingira bora kwa siku zijazo. Faida pekee ni ngono tu. Watoto watakuwa kero badala ya baraka, lakini tutataka tuzae kwa sababu tu watu hawawezi kutuelewa tusipokuwa na watoto. Tutasimangwa na kuchekwa, hivyo tunazaa ili kuwaridhisha watazamaji wala si kwa sababu ya kujenga familia.

Kwa mazingira haya TANGU AWALI NDOA HAIKUWAPO. Ni malaya wawili wameamua kuishi ndani ya nyumba moja bila muunganiko halisi wa mke na mume. Tena basi wazazi wao wanajua fika kwamba hapo hakuna ndoa ndio maana wamewaandaa siku wakikorofishana wagawane mapato ya hicho kikoba, kila mtu aendelee na maisha yake binafsi.
Thanks
 
Wazazi wa, binti wanamfundisha kuwa aishi kwa ujanja ndani ya ndoa. Yaani anapoingia tu aanze kujiandaa kutoka kwani tayari wanamjua binti yao kuwa tabia zake si za mke wa ndoa. Mke anawafanya wazazi wake kuwa ndio wasiri wake, anawasikiliza wao zaidi kuliko mume wake.

Wazazi wa mume wanamfundisha kuwa usithubutu kumwamini mke kwani wengi wamewaangamiza waume zao. Mume anakuwa na mahusiano zaidi na ndugu kuliko mkewe hasa kwenye mambo ya kuijenga familia yake mwenyewe.
Safi sana
 
Eti mzazi wa binti ananiambi mimi muoaji kwamba;

"baba tumekupa huyu binti hana alama yoyote ya kipigo mwilini mwake. Ikitokea amekushinda au mmeishana tafadhali usimguse, mrudishe tu nyumbani kama ulivyomchukua."

Siku hiyo hiyo mbona nitaomba kurudishiwa mahari yangu nao wabaki na huyo binti yao azeekee hapo nyumbani.
Ahahah mimi nitamwambia mshenga, mama mkwe apewe kipaza sauti aombe radhi...sivyo shughuli inaisha hapo.
 
Hata mtoto wa mjomba unaweza kumsaidia kumbe sio mtoto wake, au pengine huyo unayemuita ma mdogo si mtoto wa babu yako bibi alichakachua. Hivi ni visingizio vya watu wachoyo tu
Suala ni kwamba mama na ndugu zake wanashare tumbo.
Hivyo hata kama mamdogo sio mtoto wa Babu husika Ana vinasaba vya Bibi ambavyo na Mimi ninavyo.
Mimi binafsi nawajali watoto wa dada/mamdogo kuliko watoto wa kaka/bamdogo.
Hakuna namna mtoto wa dada/mamdogo asiwe wa kwake.!!
No way!
Lakini mtoto wa kaka, bamdogo na wanaume wengine mnaweza kuwa mnatunza ukoo wa watu.!!
Hapa nilipo naishi ya mjukuu wa mama yangu mdogo (kwa mtoto wa kike)
Naye kaleta kitukuu.
Yaani napata amani kwa kuwa hakuna namna Hawa nimebambikiwa undugu.
Angekuwa kazaliwa na wa kiume angeenda kwa mama yake tu.
 
Suala ni kwamba mama na ndugu zake wanashare tumbo.
Hivyo hata kama mamdogo sio mtoto wa Babu husika Ana vinasaba vya Bibi ambavyo na Mimi ninavyo.
Mimi binafsi nawajali watoto wa dada/mamdogo kuliko watoto wa kaka/bamdogo.
Hakuna namna mtoto wa dada/mamdogo asiwe wa kwake.!!
No way!
Hospitalini manesi wanabadilisha sana watoto...
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania kulingana na utafiti wangu;

Kwanini katika familia nyingi watoto wengi hupenda zaidi ndugu wa upande wa mama kuliko wale wa upande wa baba zao?

Ni mara chache sana utaona mtoto wa baba mdogo na mkubwa wanasaidiana.

Mimi licha ya umri wangu huu mdogo lakini nimekuwa nikishirikishwa sana katika kutatua changamoto za kifamilia kwa jamaa na marafiki.

Kwa mfano unaweza kukuta mtu anakaa Dar lakini amepata safari ya kwenda kwenye interview ya kazi huko mkoani Iringa ambapo kuna ndugu wa pande zote mbili.

Kuna ndugu upande wa mama (mama mdogo) pamoja na ndugu upande wa baba (baba mdogo). Ila amini usiamini, asilimia 95% ya watoto watakuwa na furaha zaidi kwenda Iringa na kukaa nyumbani kwa mama mdogo kuliko kwa baba mdogo.

Watoto wa baba mdogo na baba mkubwa wengi wanakuwaga na beefs za hapa na pale tofauti kabisa na watoto wa mama mdogo na mama mkubwa.

Unaweza ukakuta watoto wa baba mdogo/mkubwa wanawweza kukaa hata miaka 2 bila hata kutumiama SMS ya kujuliana hali lakini watoto wa mama yake mkubwa ama mama mdogo wanawasiliana kila baada ya mwezi mmoja.

Nilijaribu kwenda mbali zaidi kutaka kujua chanzo ni nini kutokana na mahojiana na watu wengi wazima walionizidi umri.

Wengi walionipa majibu wanasema kwamba chanzo kikubwa ni kuwa akina mama wanapoolewa katika koo za watu wengine wao ndio wanakuwa chanzo cha kuleta kelele ndani ya koo walizoolewamo (bado sina uhakika na tetesi hii)

Kuna baadhi ya wataalam niliohojiana nao walipata kuniambia kwamba tafiti za kisaikoloji inaonesha kwamba mtoto ni rahisi sana kuamini maneno ya mama kuliko ya baba. Yaaani mama akikwambia kuwa yule mke wa baba yako mdogo amenitukana na kuanzia leo msiende kwao, na kweli watoto watatembelea mkoa huo lakini hawataenda nyumbani kwa baba yao mdogo/mkubwa tofauti kabisa akiambiwa na baba yake.

USHAURI KWA WABABA WENZANGU: Msikubali wanawake mliowaoa wavunje undugu wenu kwa maana nyie mmetoka mbali zaidi tangia mpo wadogo huko kwenu kuliko hao wake zenu mliokutana nao ukubwani.

Wanawake wengi hupenda zaidi kuwavuta watoto upande wa ndugu zao tu. Yaaani unakuta likizo mtoto anapelekwa kutembelea kwa mama zake au bibi mzaa mama tu baaaas, na hapa ndio mwanaume anapaswa kuwa kichwa ngumu na kusimama kama baba wa familia.

Kuna baadhi ya wababa huwa wanawachukua watoto wa nguvu na kuwapeleka upande wa ndugu zao pia ili wazoeleke na huko. Baadhi ya mwanaume legelege unakuta hata watoto wakizaliwa hata kama wapo 4 basi majina yote yanatokea ndugu upande wa mkewe.

NINAOMBA KUKOSOLEWA KATIKA UTAFITI HUU KAMA SIPO SAHIHI

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Ni kweli kabisa! Ndiyo nature yetu ilivyo. Mtoto ni mali ya mama for the very fact kwamba anapokuwa tumboni mwake wana'share' mfumo wa chakula na hewa muda wote na haka atakapozaliwa hawezi kusahau generocity ya mama kwake na kuonyesha jinsi gani watu wanathamini nafasi ya mama/mwanamke - jiulize kwa nini mtu akitaka kukuudhi sana anakutukana tusi la nguoni linalomhusisha mama/mwanamke. Kwa utafiti wangu ni kwa sababu hiyo hiyo pia.
 
Mimi binafsi nawajali watoto wa dada/mamdogo kuliko watoto wa kaka/bamdogo.
Hakuna namna mtoto wa dada/mamdogo asiwe wa kwake.!!
No way!
Wewe una uhakika gani kama huyo unayemuita baba tangia ukiwa mtoto ni baba yako biologically?...
 
Hao wa upande wa mama ndiyo ndugu wa ukweli.sababu wa baba mdogo wanaweza wakawa sio watoto wake.

Ndiyo maana mtoto wa dada yako ni ndugu yako halisi ila mtoto wa kaka yako anaweza asiwe ni wa kwake.wanawake wanabeba siri nyingi sana.

hata wewe hao watoto wako wanaweza wasiwe wote ni wako.

Ila point yako inabakia kuwa validi tusaidieane tuu hata kama siyo ndugu
Kwani huko kwa wajomba zako watoto wao hawawezi kuwa sio wao?
 
Watoto watakuwa karibu na ndugu aliye karibu na familia (hasa mama)...inatokea wengi wanakuwa karibu na ndugu wa mama kwa sababu ndio hao wanawekwa karibu na mama. Nikiri tu wazi kwamba hata mimi nakuwa comfortable zaidi nikienda kwa dada kuliko nikienda kwa kaka
Hainaga ushemeji ee.. mawifi zako unawaogopa sio??
 
My wife is a nurse hivyo ninajua ninachokizungumzia
Wanafanya kazi very local.
Kila mtoto anapozaliwa anafungwa label yenye jina la mama.
Labda huyo nesi awe kalipwa na mtu kubadilisha mtoto.
Ndio maana nimesema ni very rare.
Wanaume kubambikiwa mtoto ni a million times common kuliko mama kubadilishiwa mtoto wake.!!
 
Back
Top Bottom