Mtu mwenye ubobezi kwenye mambo ya Uchumi, mtu mwenye vitufe vya vyombo kama TISS uchumi, unashindwa vipi kudadavua na hata kuepusha suala linalowoweza kupata kioo (spotlight: if you may)kwenye vyombo vya habari vya "Wawekezaji" ? Inaleta taswira gani kuhusu hali ya usalama, kwa wananchi na wafanyabiashara, wanunuzi n.k .nk na Upande wa kiserikali, Intelligence services za Mkoa ukiachilia mbali za Nchi. Kha!
My teke, ndio my teke RC Makalla kama kada na mbobezi wa mambo ya Kisiasa-amefail Kama mbobezi wa mambo ya Kiuchumi-amefail. Kama kiongozi wa Mkoa mkubwa Nchini amefail kuyaona, kuepusha, na ninavyofikiri, kuchelewa kupeleka ripoti ya uzito wa (impact analysis)yaliyokuwa yatafanyika,(an apparent mgomo)/kwa uzito uliohitajika na kwa wakati muafaka. Nafikiri hili jambo hakulipea maani na uzito unaotakikana kupewa kwa Mkuu wa Mkoa mwenye Ubobezi kwenye masuala ya Kiuchumi, Kisiasa na Kiusalama ukizingatia umuhimu wa Mji kama Dar na uchumi wake kwa Ujumla. In short amefail. Hayo mengine yakuzungushwa zungushwa...have at it.
"Not a time to be wobbly" the Irone lady once said.