Huyo alibebwa na Kikwete baadae akabebwa na Magufuli nae akaona mzigo akamtupa mama kaja kamuokota analazimisha ila huyo ndio anaondoka hivo!
 
Amos Makala na Chalamila ndio wakuu wa Mikoa pekee waliwahi kuongoza Mikoa mikubwa ya Tanzania Kwa manaa ya Mikoa yenye uchumi mkubwa ambayo ni

Dar,
Mwanza
Mbeya
 
....anakujaje huku kwa daslama...
Nikiangalia ID yako hapa JF, nakuona kama verified user!
===
Maamuzi ya kumleta Chalamila Dar es Salaam yamefanywa na Amiri Jeshi Mkuu wa Jamhuri ya Muungano Tanzania. Kuijadili uteuzi wake kwa lugha hizi za kuudhi hakukubaliki. Kwa jeuri yako unaweza usiombe radhi. Lakini, nakushauri ujifunze kuwa na staha.
 
Amewahi kuwa Naibu Waziri wa Maji.... Siyo Naibu Waziri wa Habari... Rekebisha hapo!

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…