Kusema ukweli Makala hafai kuwa kiongozi,sema ndo hivyo tena.JK alimuomba Samia amteue.
 
Hakuna mkoa ambao makala atafanikiwa . Amejaa Blaablaaa
 
Dar angeweza sana Anthony Mtaka au Gabriel yule alikuwa RC Geita zamani, Chalamila hapana kabisa, ngoja tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…