kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Kwasasa hatakuwa na mbwembwe kwasababu kutokea juu kupotofautiMara paaap MAKONDA karudi dsm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwasasa hatakuwa na mbwembwe kwasababu kutokea juu kupotofautiMara paaap MAKONDA karudi dsm
😁😆😅🤣😂huyo makala alikuwa n jina tuu hajui chochote kuhusu mjini Bali ndio alikuwa analazimisha kujenga network.
RC na DC ni ulaji tu hawanaga kazi za kufanyaTaarifa kutoka Ikulu, mabadiliko ya wakuu wa mkoa leo tarehe 15/05/202
Kandoro pia nadhani alikua ni Mghayasida ama sivyo basi alikua mwenyeji wa IringaDuuuh [emoji23][emoji1787] [emoji12], hatimaye dar itaongozwa na mnyambuda . . Ne mgha sida [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi huyu si aliibiwa hapo Moro, sijui akimuona yule pisi kali atakavyomkata jicho.naona wametuletea Malima huu mji kasoro
Kazi kweli kweli mwendo wa kufungua vitanda na kuvipandisha kwenye fuso kila siku 😄Yaani nikutafuta sehemu moja unaweka makao yakudumu kama hauna watoto wadogo nikuhama mke na Mme basi kazi yakuzunguka nchi tu
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Hili tukio nadhani ilikuwa dodomaHuo Mkoa si ndio mlimuibia AK 47 zake ?