Uuzaji wa vidole vya miguu Zimbabwe

Kumbe tukikatwa tu napata utajiri mtumishi
 
Ni kweli mkuu njaa ishaanza kuleta dalili
 
Chanzo kinasema ni 'utani unaoendelea mitandaoni' halafu nyie mnachukulia siriazi.
 
Kwamba serikali yao haioni mpaka uishauri? Usishangae ya Zimbabwe, si ajabu yakaja na Tz, maana upuuzi wowote ndio tunaoukimbilia.
 
Yani hapa ndo naanza kumuelewa msanii wa kizazi kipya roma mkatoriki kwenye kibao chake #narudiZimbabwe kumbe siri akutuambia kwanini anataka kurudi Zimbabwe [emoji1269]
 
aje tu nimuuzie vyote, mi vya nini sasa na hela sina 🤣 🤣
wanakuja lini tanzania
yeye anavipeleka wapi sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…