Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hata mimi nawapongeza sana polisiAsanteni sana @tanpol !!! Tunawapenda SANA!! SISI ni watu wema!!! Tanzania ni YETU SOTE. Tusiruhusu maslahi ya WATU wachache watuvurugie UPENDO wa ASILI wa TAIFA LETU-Halima Mdee
Hivi 'cause list report' ni lugha ya kisheria? Hiyo 'cause' sio 'case' kweli?
Yawezekana kwa sababu mshauri mkuu na ambaye alikuwa anasikilizwa sana kaenda nchi za mbali kwa speed ya light.Asanteni sana @tanpol !!! Tunawapenda SANA!! SISI ni watu wema!!! Tanzania ni YETU SOTE. Tusiruhusu maslahi ya WATU wachache watuvurugie UPENDO wa ASILI wa TAIFA LETU-Halima Mdee
R.I.P Akwilina.Mm naona kupitia kifo cha mzee mkapa viongozi wa ccm wamejifunza kitu. na ndio maana leo hawajawaachia mbwa wao.
Leo ni siku mpya. Jana imepita na kuwa historia .
Lini mgombea wa urais wa chadema atatangazwa,?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Lisu siku zote anaamini ili kuwafurahisha wafuasi wake ni lazima kutumia lugha kali, kejeli, na dhihaka.Halima Mdee amefanya vyema leo kulipongeza jeshi la polisi, si vibaya chama kikatoa shukran rasmi kwa jeshi la polisi, hata kama ni kwa kinafiki. Pia nashauri sana Tundu Lisu ashauriwe kutokwenda kesho msibani. Kwangu bado Lisu ana hasira na lile shambulio, kwa vyovyote atataka kuionyesha serikali na hasa rais Magufuli kuwa amepona. Na mashabiki wake wanaweza kuonyesha furaha iliyopitiliza ambayo itaipa serekali sababu kuchukua maamuzi hasi dhidi ya cdm.
Kwakuwa wamemstahi leo, ni vyema angeachana na huo msiba, kuna nafasi kubwa ya kushindana na ccm. Na kama itawezekana kuanzia sasa Lisu pia ashauriwe asitumie lugha kali za kupandisha hamasa za chuki, bali apambane na ccm kwa sera. Kuna sehemu nyingi sana za kuwazidi ccm, mfano hii rushwa ya juzi kwenye chaguzi zao, ajira, ugumu wa maisha wa wananchi, demokrasia nk. Ni vyema apange vizuri mashambulizi yake kisiasa, kuliko kuonekana anapambana na mtu binafsi, kwa ajili ya shambulizi lake binafsi. Ni juu yetu wapinzani kutumia kukubalika kwa Lisu kwa njia chanya kuliko kuvutana
Lowasa
Hayo mafuriko ya Lowasa 2015 mkuuMkuu kama na kura zitakuwa za kuediti hivyo basi ccm imeshindwa vibaya sana!!
Kwani mwenyekiti wenu alishindana na wagombea wangapi hapo lumumba?
Mkuu kwani hao wanachi akili hizo za kufanya hayo kama Lisu angekamatwa hawakuwa nazo siku top ya viingizi wote wa chadema walipotiwa korokoroni?Walikua wanatamani sana kumkamata na kuzuia huo msafara wa leo, ila walihofia dunia nzima inalitazama hili swala la Lissu kurudi nchini pia wananchi wangechukua sheria mkononi (Wangefanya vurugu kuvunja magari, maduka, wangevunja airport, wangechoma matairi na fujo nyingine).
Tusijidanganye eti polisi wetu wamejifunza kuwa na busara au hekima, hilo halipo, mazingira tu ya leo yamewabana polisi.
Walipokea maelekezo wasiwaguse CHADEMA, wangepokea mengineyo wangeyafuata pia, siku hiizi kazi za usalama wa raia hazifanywi kiprofeshno, zinafanywa kwa maelekezo yatokanayo na utashi wa mtu, kile atakacho ndicho kinachofanywaAsanteni sana @tanpol !!! Tunawapenda SANA!! SISI ni watu wema!!! Tanzania ni YETU SOTE. Tusiruhusu maslahi ya WATU wachache watuvurugie UPENDO wa ASILI wa TAIFA LETU-Halima Mdee
Lisu siku zote anaamini ili kuwafurahisha wafuasi wake ni lazima kutumia lugha kali, kejeli, na dhihaka.
Jana kulikuwa na mafuliko ya mapokezi ya Rais mtarajiwa. Ila cha ajabu magazeti na vyombo vyote vya habari viko bize na maombolezo ya mkapa.
Wewe ndie msemaji wa Watanzania?1 JPM
2 LISU
3.MEMBE
Tusitegemee mchuano mkali kabisa kati ya jpm na mgombea mwingine yoyote kutoka vyama vya upinzani kwakuwa tayari sehemu kubwa ya utekelezaji wailani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi umetendeka, kadhalika na yale yaliomo katika ilani ya vyama vingine.
wanao Dhani lisu ataleta ushindani wanaudhaifu katika kumtazama lisu as presidential candidate, kwa sababu hoja nyingi za bwana lisu si zakuinua uchumi bali zakunusuru wapinzani na kiu ya raia si hiyo.
Kila la kheri Tanzania kila la kheri Mtanzania mlinda Amani
Mkuu kwani hao wanachi akili hizo za kufanya hayo kama Lisu angekamatwa hawakuwa nazo siku top ya viingizi wote wa chadema walipotiwa korokoroni?