Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020
Wanachi wamesha pata kujua kilicho endelea jana kupitia mitandao, wakitaka labda wafunge na mitandao yote tubakie gizani kama ilivyo kwa bunge
Jana kulikuwa na mafuliko ya mapokezi ya Rais mtarajiwa. Ila cha ajabu magazeti na vyombo vyote vya habari viko bize na maombolezo ya mkapa.
 
Hilo sina tatizo nalo, je bado kuna mahusiano mazuri baina ya pande mbili? Nina hakika Lissu akiingia hapo hilo zoezi litageuka na kubeba hali ya kisiasa zaidi. Ila kama ataenda, na ikatokea bahati mbaya akapewa nafasi ya kuongea, ni vyema akadhibiti ulimi na hisia zake. Ni ukweli usiopingika kuwa Lisu haivi chungu kimoja na Magufuli, huenda hafla hiyo ikaweka tofauti hizo hadharani kwa namna hasi. Ni vyema ukatolewa ushauri kuondoa hizo tofauti kuwa hadharani, ama kila mmoja kulinda ulimi wake.
Kwann hawaivi ?
 
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Ndo maana una mambo ya kushetani
towardseternity_20200628_1.jpg


Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Huu ni zaidi ya ushauri.

Tundu Lissu hana sababu tena ya kupoteza muda mwingi wa kuzungumzia hali iliyompata. Ni nani asiyelijua hilo?

Sasa hivi atumie muda wake mwingi kuwa kama mwalimu, afundishe wananchi kuelewa haki zao za msingi ili wasiruhusu tena haki hizo zichezewe.
Ana haki, na uwezo wa kuzungumzia ulazima wa utawala bora na umhimu wake katika maendeleo ya nchi yetu.

Chaguzi zetu, afundishe watu kujua umhimu wa kuchagua viongozi wao wanaowataka wao bila ya kura zao kuharibiwa. Watu wajitokeze kwa wingi kupiga kura, ili hata kutokuwepo kwa Tume Huru ya Uchaguzi, iwe vigumu kwa tume hiyo kubadili matokeo.

Mahusiano yetu kimataifa, sio jambo la anasa, ni jambo la muhimu sana. Hatuwezi kujitenga kwa sababu uchumi wetu unategemea mahusiano hayo.

Waliopo huko ndani ya CHADEMA, ni wajibu wenu kumpa ushauri Lissu, na hasa kama ndiye atakayekuwa mpeperusha bendera wenu.

Wananchi sasa hivi hawategemei kuona nyinyi ndio mkiwa wachokozi. Mliyotendewa liwe fundisho, lakini msitafute kuchokoza kama njia ya kulipa kisasi. Mtapoteza imani ya wananchi
Ushauri mzuri ila CHADEMA ni wastaarabu sana, mambo waliyofanyiwa na viongozi wa CCM kama wangekuwa na traces za ukorofi lazima wangefanya vurugu kama za wapigania uhuru wa Afrika ya kusini.
 
Siasa za visasi hazina tija. Tugange yajayo.
Kupigana risasi siyo siasa, Mdee kafanya yale ya moyo wake, hatumpingi, ila msimamo wa "vigilantes" upo pale pale, tunakamilisha mafaili ya waliohusika kwenye matukio ya kikatili dhidi ya viongozi wenye mawazo mbadala.

Ukikamilika watapata kadiri ya walichofanya!
 
True hivi ndivo polisi inatakiwa maadamu awafunji sheria waacheni jioni watalala wenyewe,unaleta maendeleo kwann uogope upinzani?
Siku zote polisi ndio chanzo cha vurugu, Hakuna mtz yeyeto apendae vurugu
Kifo cha AKWILINA kilisababishwa na nanii, kama si wao hakuna ambaye angeumia hata ukucha, POLICCM.
 
Wameaibika vizuri wote waliozani na kuamini kuwa mapokezi hayo yangekwamishwa na jeshi la polisi, roho zeo mbaya zitawatesa milele!
 
Back
Top Bottom