Polisi ndio uwafanyia vurugu wapinzani kwa kutii maagizo ya wanasiasa makanjanja kina bashite
Baada ya Bashite kuondoka hutakaa uone uonevu kwa wapinzani, its obvious JIWE hakuwahi kumtuma alokuwa anafanya.
saa hii atakuwa gym kupunguza ipsi
 
MATAGA jana wamelala na viatu , na shombo za samaki, imewau kweli kweli, hawana utu na ubinadamu, wanatama Lissu afe hata sasa hivi; ila Mungu amejitukuza.
 
Leo ccm na serikali yake hawatakiwi kabisa kuhamasisha watu km walivohangaika siku tatu zilizopita kwenda kuaga mwili wa mkapa maana watz wataenda wenyewe kumsindikiza Nabii Tundu LISSU......
 
Ccm Ina viongozi wasio na akili kabisa. wananunua wabunge na madiwani alafu hawawezi kuwanunua watz??

CHADEMA ni mpango wa Mungu na ni chama cha mioyo ya watz wkt ccm ni chama Cha mioyo ya polisi, tume ya uchaguzi na msajili wa vyama......PERIOD
 
An alternative apology. Hakuna kitu kama hicho. Ujasiri wa Lissu hata wao wameshikwa na butwaa
Ina maana huo umati uilikuwa na nguvu kuliko maandamano yeyote ya Chadema yalowahi kutokea nchi hii au kuliko mambo yeyote ambayo polisi washawahi kuyaingilia au ni kujifanya tu kuwa huwajui wa Tanzania?

Watu tunashukuru jamaa hawakuingilia na hilo lilishauriwa muda mrefu kabisa polisi kukaa mbali,bado hakuna mwanachadema ambae alikuwa na ubavu wa juzuia polisi kama wangeamua kuchukua maamuzi tuloyazoe.

Hii ndio hasara ya kuwa mpinzani hewa,ukiachwa unasema umeogpwa,ukipigwa unasema umeonea,lazima tubadilike siasa si upepo wala kivuli.
 
Mkuu uzi wa reference niliokupa una maelezo ya nani kamtekeleza mwenzake.

Sasa unaponiuliza maswali ambayo yako wazi kwenye sehemu niliyokupa tunakuwa hatupigi hatua mbele.

Tafadhali rejea kwenye reference ile wametajwa.
Tuliowapa mamlaka nao hatuoni kuvaa hata barakoa na huwa wapo kwenye mikusanyiko, mpaka juzi Dodoma akawa anasema kwani wao hawaogopi kufa. Ndiyo maana nikauliza aliyemtelekeza mwenzie nani?
 
Ushauri mzuri ila CHADEMA ni wastaarabu sana, mambo waliyofanyiwa na viongozi wa CCM kama wangekuwa na traces za ukorofi lazima wangefanya vurugu kama za wapigania uhuru wa Afrika ya kusini.
Mkuu 'Chesty', sema CHADEMA walitumia akili kubwa kuepuka vishawishi vya kufanya mambo ambayo yangewasababishia kufutwa kabisa.

Mengi ya waliyofanyiwa ilikuwa ni mitego ya kichokozi, ili waingie kichwa kichwa na wamalizwe.

Wanastahili pongezi kwa kuiepa mitego yote ile. Sasa wajipange kwa ushindani halisi kuwavuta wananchi upande wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…