Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020
Mubashara nimeweka kambi hapa
Katika hii miaka mitano tu ya utawala wa jiwe, zaidi ya trilioni 2.5 HAZIJULIKANI ZILIPO. Pesa hiyo ni zaidi ya UFISADI wote uliofanyika kwa awamu zote tangu tupate uhuru, unapata wapi ujasiri wa kushabikia na kutukuza MHALIFU wa kiwango hicho Mkuu n.g.u.r.u.w.e wa lumumba?
Mungu mbariki Tundu Lissu

Ameshawasili dakika chache zilizopita, hapo airport
 
Huu ni ujumbe mzuri wenye maneno ya kujihami, ila wale jamaa wenye kidoti chekundu sijui kama hii lugha wanaielewa.
Muhimu ukienda usisahau chupa kubwa ya maji.
Kuwa CCM lazima upitie mafunzo ya kujenga uoga.
 
Wakati mwingine ni matumizi mabaya tu ya madaraka. Hivi juzi watia nia wa ccm walikuwa wanagawa rushwa kama njugu hadharani, hao watu wa usalama hawakufanya lolote. Lakini leo wameagizwa na wanasiasa ili waonekane wanafanya kazi, kwa kumsubiri mwanasiasa ambaye hakuwa mkimbizi, hana sifa ya kuendesha makundi ya yanayomiliki silaha, wala hajawahi kuingia msituni, anapokelewa kama gaidi.

Mambo haya ndio yanapelekea wazungu kutuita manyani. Mtu anakuja mchana kweupe, na katangaza kabisa, kuna haja gani kwa vyombo vya usalama vinavyojitambua kwenda kujenga taswira ya uhasama usio na sababu yoyote, ili kukidhi kiu ya mwanasiasa anayeongoza nchi? Hapa ndio tunapotaka katiba irekebishwe, na baadhi ya mamlaka ziondolewe kwa rais, ili taasisi zetu zibaki kufanya kazi kwa weledi, badala ya kutumiwa kwenye siasa chafu.
Kazi za kiweledi huwa hawataki kuzifanya, wanapenda kufanya kazi za kuharibu haribu, mfano sasa wanatumika na akina Bashite, Mwakyembe na wenzao walioshindwa kura za maoni kuwahuju washindi wa kura za maoni ili majina yakatwe huko Dodoma, CCM hutumia vyombo hivyo hata kuvurugana wenyewe kwa wenyewe, haya ni matumizi mabaya ya vyombo vya dola na njia mojawapo ya kuondokana na hayo ni kuja na katiba mpya inayezuia hivyo vioja.
 
Inatoshakusema hii nchi ni ya kwetu sote, watanzania sio wapumbavu na malofa!
 
Wewe wala sio CHADEMA uko hapa kupiga propaganda ili watu wasiende kumpokea Lissu. Halafu kwenda kumpokea mtu sio kosa sasa sijui kwanini unaleta habari za virungu.
Maskini Lissu, anadhani Chadema hii ni sawa na ile ya 2015 ha ha ha ha ha bora angebakia kwa mabeberu wenzake
 
Chadema mngelipa hata online tv moja jamani. Yaani hakuna online tv hata moja inayoonyesha live ujio wa Lissu. Wote wanaonyesha uhuru uwanja.
 
CHADEMA ilikimbia bunge kwa sababu ya COVID-19? Unakumbuka? Je, COVID-19 imeisha? Kwa nini, kwa mfano, CHADEMA isiwaambie wafuasi wake kwamba kila anayeenda airport avae mask? Huona kwamba katika hili CHADEMA inaji-contradict yenyewe?
Wakati wanakimbia kulikuwa na Corona TZ .... Rais keshatangaza kuwa Corona imeisha Tanzania. Sioni kama kuna kosa kuamini hivyo!!
 
Back
Top Bottom