Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,830
- 4,729
We piga domo tu, ila habari ndo hiyo huyo msaliti hana nafasiwe unaharibu nchi kila siku unajifanya unajenga?
Unaenda hatua 2 mbele na kurudi hatua 10 unajipongeza!!
Nipo vizuri sana tu.Hivi uko vizuri kweli?
Dina hujaenda weweHao watu leo watafungwa uwanja wa taifa nadhan maana police hapatoshi
Niko hapa Airport, kwani wengine mko wapi, nyie watu wa mitandaoni ni wachochezi sana aisee
Sitawaamini tena, watu ni kidooogo Sana hapa kuliko uwingi wa watu wa mitandaoni,
Bro naona leo hizi IDs zenu zina kazi ya ziada, hamuwezi kueneza propaganda kuuzima moto wa Lisu, poleni sana, karibu airport tumpokee mheshimiwa sana LissuHaya wahi ukanywe dawa!
Mmawia upoo? CHADEMA ndo ishahifia. Atawazidi mpaka Zitto Kabwe
Kwa chombo kipi ? Ujue tcra nao wanafuatilia ujio huu
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Media zote ni state ownedDuh nmerud getto fasta nije niangalie nakuta kote jeneza la kioo tu
Huyu mwamba tuko naye siku zote... Bia YetuKaribu tena kwenye uwanja wa mapambano tulikumiss. ...... wajumbe sio watu
Una shida mahali, maneno yako sio ya mwanamke aliye sawasawaNipo vizuri sana tu.
Donors wamesema watadeal na viongozi as individualsTumeshakamilisha jinsi ya kudeal naye akiwa ndani.
Hahaaa mnaanza kuhamisha magoli, si mlisema hawezi kurudi.Tumeshakamilisha jinsi ya kudeal naye akiwa ndani.
Waache wafu wawazike wafu wao...Neno la Biblia