Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020
CDM
IMG_20200727_141420.jpeg
IMG_20200727_141408.jpeg
IMG_20200727_141403.jpeg
IMG_20200727_141402.jpeg
IMG_20200727_141400.jpeg
IMG_20200727_141358.jpeg
 
Hizo ngonjera nadhani mlizianza miaka ya 2012 kuwa cdm ishakufa, na wewe ulikuwa mmoja wapo uliye kuwa unaimba hizo ngonjera.

Lkn leo hii ni takribani miaka 8 bado cdm ipo inazidi kuvuma kama kimbunga. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji123]

Karibu sana mkuu Lizaboni bado tupo tunapambana.
Mmawia upoo? CHADEMA ndo ishahifia. Atawazidi mpaka Zitto Kabwe
 
Back
Top Bottom