AIf you are fooled be a little wise not to fool others!!!Many Chadema followers call Lissu a liberator, I agree – but he’s an opposition Liberator ? probably, but I believe he is true fraudsters and deceivers ,who fool hopelessness followers who have no capacity to do Hypothesis analysis and Synthesis analysis to assist them to arrive at a more meaningful conclusion as who Tundu Lissu is.
The Chadema leadership want to appropriate the language of revolution but have no history or track record to warrant them called Makamanda.
Kiukweli wanastahiki pongezi na ndivyo wanavyopaswa kuwa. Kongole kwa hekima iliyotumika...Hii ndio police tunayo hitaji..View attachment 1518497View attachment 1518498View attachment 1518499
Kaamua aachane na baishara isiyolipa[emoji16][emoji16][emoji16]
Ndio hawa leo wanataka kuaminisha watu dsm imesimama kwa hawa wazururaji 257[emoji16][emoji16]Wajumbe wa mitandaoni sio watu wazuri. Mwisho wa siku alijikuta mwenyewe hakuna anaemsapoti
Malizia kukata gogo uje uandike tena.Kuna bantu bame poteza pesa leo.. bamewapa watu bingiii.. bapate chokonoa..
Banalia sana sana..
Magufuli 2020
Kumbe huwa mnamkubali na kumsikiliza eh? Safi sana.Tumeshatangaziwa na jiwe kuwa korona bongo imeishaaaaaaa tuko salamaaaaaaa
HEBU TUPISHEEEEEEEEEEEEEE......
Well said maana faulo kidogo tuu itaharibu shughuli nzima uwanja wa Uhuru...So police technically wanacheza game ambayo inawabid wachezeeThis is planned scene to avoid violent as country we're in the grief of sadness.
Bado huamini kama imekufa!!!!au utasema iko mioyoni mwa watu!!!!Mdogomdogo hadi UFIPA
halafu anatokea mpuuz mmoja anakwambia CHADEMA imekufa eti kisa Waitara kanunuliwa na wajinga wengineView attachment 1518505
Nenda kawahi LUNCH msibani hakuna wa kukuwekea, UVCCM wanazidi kuja kwa wingi kutoka Mkuranga, Rufiji, wakati walitakiwa kutangulia LUPASO.Tulijua waKIUME..kumbe wanawari TU....
Masteringi wa Mitandaoni look😂😂😂
Huko ni kumvunjia heshima marehemu.Sasa kesho huyo Tundu Lisu kwenye huo msiba hapo uwanja wa Taifa, nyomi lake litakuwa sio la nchi hii.
Mimi nilikuwa nafatilia BBC nashangaa wanakata kata tuTukio kubwa kama hili lilipaswa kurushwa live mnatupa wakati mgumu tusiokua eneo la tukio.
hahha basi roho imekuuma mataga
Mna kazi kweli leo lumumba!Hebu waone hawa! Eti kuna wakati walienda kujifungia kisa wanaiogopa corona!
Wana drama sana hawa watu!
Mmewageuza polisi kuwa mbwa mkiwaambia ng'ata yule wanafanya, kwenye hili wamejiongeza.Chadema wameumia sana kupuuzwa na vyombo vya dola. Walitegemea msaliti wa taifa atapewa kiki. Imebuma.
Magufuri sent thugs to kill Lissu and Mbowe, they could only hurt a couple of their limbs, but God allowed SAR-Cov2 to bite Mkapa and it downed him to the grave.
Lumumba ndio serekali, hiyo iliyotoa kauli muachiwe huru kumpokea mgeni wenu. Kijana kuwa na busara, CCM ndio mtawala kwa muda huu hadi uchaguzi.Hakuna hata anayefanya fujo..
Milumumba yote ya humu jf inachungulia kwa aibu kubwa..
Shame.