Saa mbovu kuna mda husema ukweliKumbe huwa mnamkubali na kumsikiliza eh? Safi sana.
Tuna imani na weweView attachment 1518501
Mambo yalishambadilikia... zile "....oyeee!" Zilishapotea anasaka kambi mpya huyo mjumbe!!We unatuzingua.
Unajaribu kujificha nyym ya kikongo
Hakuna sababu ya kutumia nguvu, Ujinga tu wa kudanganywa na Mtu 1 huwa unawatawalaHii ndio police tunayo hitaji..View attachment 1518497View attachment 1518498View attachment 1518499
Mbona watu wengi nilikuwa nafatilia BBC swahli sema wamekatikaWajumbe wa mitandaoni sio watu wazuri. Mwisho wa siku alijikuta mwenyewe hakuna anaemsapoti
Kama wamezuiwa hata nyinyi msingefika hapo.Mna kazi kweli leo lumumba!
Comments zenu hazionekani masikini, leo buku saba lazima muitapike, najua hata nyie mnatamani kuja JNIA kumpokea mheshimiwa Lissu, poleni, leo kazi ngumu kupambana na watanzania
Nachomuomba tundu Lissu lazima atembelee viatu vya Martine Ruther king. Katikati ya majaribu, thiki na anapoona hakuna haki ahubiri amani, Umoja na Upendo na kutoa hotuba za kuwashawishi watawala kutenda haki zaidi ya Alaiki ya watu kudai haki kwenye mazingira yasio Rafiki. Na inawezekana kabisa.
Naomba asijaribu kuwa Kama Patrick Lumumba wa Kongo. Akili ndogo ya kudai haki na nguvu nyingi ilipoteza kabisa Malengo yake binafsi na ya taifa lake.
hahha basi roho imekuuma mataga
Mkuu mwambie yeye aende kuangalia maiti.@Lizaboni mkuu
Huyu tunaemuaga Leo alisimama kwa miguu take
Angeamua kuendesha hata v8 kumi angeendesha,alikua na mamlaka yote,angeamua ata wew angekuweka jera!
Lakini Leo Hana maana,udongo unamsubir chini
Miaka mingapi mbele atabaki kwenye history yetu, maana yake heshimu Sana pumzi ya mtu,
Mungu hakumuumba lissu kilema,wew unasema kilema,ukilema upi? Umesababishwa na Nan?
(Nlikua nnaongea kistaarabu)
Kama unakeleka humu sepa,Kuna thread nyingi humu mkuu zakusoma,ukitaka kale au kaliwe kimasikhara,acha watu wamsubiri kiongoz wao
Mbona unaumia,anakuja kukaa kwenu,utamlisha,anakuongezea Nini
Some time acha usiandike upupu humu
Labda mwenyekiti hajalipia kipindi kuruka kwa hewaaaa[emoji848][emoji848][emoji848]Clouds tv walikua live sinza mkutano mkuu wa Cuf wamemaliza kule wamerudi Studio
Nini tafsiri yake ?
Dw wamerusha hewani toka Airport, BBC nina imani jioni watatupa package ya kutosha
Najiuliza vipi sasa vyombo vyetu vya habari hasa tv watatupa majumuisho ?
Wacha leo tuone changamoto hii ya local media.
Ni vizuri kama hakuna vurugu.
Hicho ndo wengi tulikihofia.
Lissu ana wake wengi mpaka wewe pia umeolewa na 2pacMbona kuna mawaziri wenu ni walemavu nao unaona hawafai?
Unamkosoa mteuzi wao kuwa kakosea kuwateua mawaziri walemavu?
Wewe unaijua kesho yako au umeamua kujitoa akili? Hujui kuwa hata wewe pia ni mlemavu wa kesho? Omba sana mungu akusamehe kwa kumkosoa aliye kuumba.
Duh!Nadhani wamekubali risk kutokana na mapenzi yao kwa wanaeenda kumpokea.
Amandla...
Saaana!!Chief nimekuvulia kofia, wewe ni mfuasi mzuri wa Lissu, ila wengi hawaaminiki.