Hapo wamepeana kazi kila mtu aje na ndugu zake.
 
Reactions: SMU
Baada ya mumeo Bashite kufurushwa toka dsm naona unawaya waya tu
Bandugu.. fikiria nje ya kuboksi.. walibataka watendwe.. bameshushukaaaa.. bamepwaya.. kama bamemwagiwa.. maji kumoto.. [emoji2][emoji2][emoji2]

Magufuli 2020
 
Nimependa jinsi mamlaka zilivyopuuza hii tukio.hinafsi ni mpinzani wa polisi kujishughulisha na kila upuuzi.

Mengine mnaacha yanapita kama hivi,halafu watu wanabaki wamesimama,wasijue wanashika shughuli ipi baada ya kick kubuma.
Yeah polisi wakiacha upuuzi wao wanaweza tengeneza asali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani vyombo vyote ambavyo ni viko kwa pesa sio wananchi Leo ni kama Lissu hajaja. Lakini wananchi an vijana wanajua ukweli. Tushukuru kuwa na mitandao.
Hiyo nyomi haifiki hata idadi 0.00000001 ya watz waliopo wilaya ya ilala pekee yake.

Bado alistahili mapokezi makubwa zaidi ya haya.kama tu chadema wangekuwa smart zaidi.
 
Umeona mapokezi lkn

Nimeona.. yaani leo utalii wenu kuona uwanja mupya.. kumekucha.. mununue vitu hata maji..muchangie mapato kunchi yetu pendwa..

Leo mumebaki mataa.. musifanye kufujo.. muondoke mulivyofika hapo.. 😃😃😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…