Bandugu.. fikiria nje ya kuboksi.. walibataka watendwe.. bameshushukaaaa.. bamepwaya.. kama bamemwagiwa.. maji kumoto.. [emoji2][emoji2][emoji2]

Magufuli 2020
una boa ujue
mwenyew una jiona mjana mwenyew kuandika huu ushubwada wako apa
 
Ndio mjue polisi walivyokuwa wastaarabu na walivyovumilia kuna abiria wanaweza kosa ndege zao leo watu hawana ustaarabu kabisa njia zote wanapita wao awajali shughuli za wengine; uwanjani wamejazana sijui ata abiria wengine waliingilia wapi.

Unaweza elewa furaha ya wana CDM lakini wajifunze ustaarabu kuna maisha ya wengine nje ya excitement zao hapo sasa wakitawanywa si watasema wanaonewa wakati clearly kuna breach of peace.
 
Hongera sana mkuu kwa kutupatia comment iliyo jaa sana busara.
 
Duuuu wanachama wa CCM utawajua tu,ZERO BRAIN

Mumekaa ba midomo buwazi.. munalia.. hakuna wapa kikiπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ’ƒπŸ½πŸ’ƒπŸ½πŸ’ƒπŸ½πŸ’ƒπŸ½πŸ’ƒπŸ½
 
Polisi wamewapuuza, mjichape bakora wenyewe sasa na mjipeleke central wenyewe. Hapewi kiki mtu yeyote hapa..mlitegemea polisi wanase ktk mtego wenu, imebumaaaaa....nna tumeamua lisu hashikwi ila wadhamini wake ndio watamgombania kama mpira wa kona..
Mumebuma sana kila sababu mtaitoa leo kwasbabu mliodhani sio mliofikiria.
 
Acha uzembe.. hawaja piga wala kuvunja meza ya mtu.
 
Hii inaitwa mchawi mpe mwanao akulelee.

Polisi,serikali leo nimewavulia kofia trick mliyocheza na hawa mabwana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…