Polisi wamewapuuza, mjichape bakora wenyewe sasa na mjipeleke central wenyewe. Hapewi kiki mtu yeyote hapa..mlitegemea polisi wanase ktk mtego wenu, imebumaaaaa....nna tumeamua lisu hashikwi ila wadhamini wake ndio watamgombania kama mpira wa kona..
Hamna lolote wewe, wamepuuza kitu gani?
Polisi siku zote ndo chanzo cha vurugu
 
Watashitakiwa kwa kuandamana bila kibali, take my word
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Reactions: BAK
ila chadema nimewavulia kofia

yani mpo mnaserebuka kabisa pamoja na msiba mzito uliopo😁😆😆
Msiba wa kafara za Bashite wataenda kumuaga hakuna shida ngoja wamfikishe lisu nyumbani kwanza kisha watoe siri ya kifo cha mkapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…