Umslopagazi
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 1,675
- 903
Sana sana vichaa wenzakeRais wa mtandaoni, hatoamini akipokelewa na watu wasiozidi kumi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana sana vichaa wenzakeRais wa mtandaoni, hatoamini akipokelewa na watu wasiozidi kumi.
Mbona hawana barakoa - si Chadema hao?Bila shaka BBC, Aljazeera, CNN, VOA na vyombo vingine vya kimataifa vitakuwepo hapo uwanjani.
Makamanda katika picha wakielekea airport:
View attachment 1518252
Mbona Tupo hapaHii Ni Saa 6 Mchana Makomandoo Wa Mitandaoni Wamenywea....Hawajatokea......HATA huku KARAKATA HAWAONEKANI....
Ni Sugu TU na wale WASHARISHARI wanne.......
acha kuropoka Siri za kambi chief ..Nasie tunajiandaa hapa na zana zetu..kila mtu anapata maelekezo lakin mioyoni mwetu hatuna ugomvi nae
Oooo uko pande zipi nije kukupa salaam mwana JF mwenzangu ndio kipind Cha kujuana HIKI kakaMbona Tupo hapa
duh!Bibi Sky Eclat sikuoni hapa airport na bango lako kubwa la welcome home Lissu.
Kelele zote huku Jf ila muoga tu.
Ni wapumbavu tu wanaodhani nchi HAIJAKOMBOLEWA........Mkombozi, shujaa Lissu yupo anga ya Kenya. Welcome home brother.
Mkuu mimi ndio nasimamia location ya hivyo vyombo vya habari ulivyovitaja , vipo bila shakaBila shaka BBC, Aljazeera, CNN, VOA na vyombo vingine vya kimataifa vitakuwepo hapo uwanjani.
Makamanda katika picha wakielekea airport:
View attachment 1518252
MaCCM yenyewe akili zao ni kama n.g.u.r.u.w.e aka kitimoto, yana lamba lamba tu masaburi ya fisadi yeyote yule ilimradi kuna elfu saba saba na simu ya smartphone kwaajili ya kutolea povu na kupotosha mitandaoni.Machadema akili zenu sawa na za n.y.u.m..b..u
nani aliyesema ataleta vurugu , na kwanini walete vurugu ?Ha ha ha Wamekuja kistaarabu km wanandugu wanavyopokea mwanafamilia TU...
Ile Mikwara Yao Kuwa WATAJAZANA wala Haipo looh makomandoo wa JF😂😂😂😂😂😆
Tuna Kuja kwa mamia kumpokea Rais mtarajiwa
Mmmmh RBC muongoo mbona ANCHORS wao HAWAONEKANI hapa terminal 3....ama wako KARAKATA?!!!😂😂😂Mkuu mimi ndio nasimamia location ya hivyo vyombo vya habari ulivyovitaja , vipo bila shaka