Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020
Fundi wao karibu sana nyumbani mungu ni mwema
 
Mkombozi, shujaa Lissu yupo anga ya Kenya. Welcome home brother.
1595841340723.png
 
Ha ha ha Wamekuja kistaarabu km wanandugu wanavyopokea mwanafamilia TU...

Ile Mikwara Yao Kuwa WATAJAZANA wala Haipo looh makomandoo wa JF😂😂😂😂😂😆
 
Machadema akili zenu sawa na za n.y.u.m..b..u
MaCCM yenyewe akili zao ni kama n.g.u.r.u.w.e aka kitimoto, yana lamba lamba tu masaburi ya fisadi yeyote yule ilimradi kuna elfu saba saba na simu ya smartphone kwaajili ya kutolea povu na kupotosha mitandaoni.
 
Back
Top Bottom