Watanzania huwa ushabiki mwingi tu ka wa Simba na Yanga watu wakitoka wanatulia majumbani, nidhamu ka hii imgetumika hivi ungekuta Tundu lissu hajapigwa risasi nyingi na image ya nchi isinge chafuka hvo Hadi kukosa misaada kizembe, itakuwa tu ni wahuni wachache wasio wazoefu walipanga Hilo shambulio la ajabu kwa nchi yetu
 
Tukio la Kifo cha Mkapa limeleta Wageni wengi Wakubwa na Vyombo vingi vya Habari vya Kimataifa vinaangazia Tanzania hivyo Wanaliogopa hilo.
Sidhani kama ndio sababu. Muhimu tuhukuru tuBusara za Jeshi letu la polisi.
 

Hata mimi nina ukoo mkubwa lakini tofauti na wewe misiba imetuandama. Lakini hamna anaefariki kwa Corona.

Amandla...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…