msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,280
- 7,903
"Amri toka juu" huwa inawapagawisha.... hasa wale wanaoogopa kupangiwa kazi nyingine.Kumbe Polisi Tanzania huwa wanakuwa na Busara hivi ( hasa hii walioionyesha ) leo hapo JNIA sasa ilikuwaje huko nyuma walikuwa ni Wanoko tu?
Mna furaha wakati mna msiba? Pambaneni na hali yenu, sisi fill Sherehe!Ni nyie munalia.. sisi hapana maumivu.. bali mumekomeka leo.. ni furaha kwetu.. Awamu ya tano oyeeeeeeeeee
Pokea hii tena 💉💉💉💉
Hahahah mataga tulia kama ulivyo sindano ikuingie vizuri.Bodaboda wamekodiwa wamelipwa Chao Kama kipindi Cha Lowasa . Hongereni Bodaboda kwa kupiga pesa za uhakika Leo
Mkuu wamepewa maagizo
Watanzania huwa ushabiki mwingi tu ka wa Simba na Yanga watu wakitoka wanatulia majumbani, nidhamu ka hii imgetumika hivi ungekuta Tundu lissu hajapigwa risasi nyingi na image ya nchi isinge chafuka hvo Hadi kukosa misaada kizembe, itakuwa tu ni wahuni wachache wasio wazoefu walipanga Hilo shambulio la ajabu kwa nchi yetuLeo tuone vurugu zitaanzia wapi. Ki asili watanzania sio watu wafujo. Ni kweli sisi ni watu maskini lakini tunakula dagaa na maharage tunalala kwa amani. Tunajuliana hali.
Tunaombeana memana kusaidiana kwa uwezo wetu. Kuna kakikundi kalitaka kutubadilisha asili yetu. Na kashindwe Kwa jina la Masiha Yesu Kristo wa Nazereth. ( Nb. Kuna yesu wa chatle pia)
Hahahaaa nimefurahi sana leo Gentamycin a very poor antibiotic of highly resistance rate to microbes.Kumbe Polisi Tanzania huwa wanakuwa na Busara hivi ( hasa hii walioionyesha ) leo hapo JNIA sasa ilikuwaje huko nyuma walikuwa ni Wanoko tu?
Sidhani kama ndio sababu. Muhimu tuhukuru tuBusara za Jeshi letu la polisi.Tukio la Kifo cha Mkapa limeleta Wageni wengi Wakubwa na Vyombo vingi vya Habari vya Kimataifa vinaangazia Tanzania hivyo Wanaliogopa hilo.
leo Bashite angekuwa kazini angekua tayari ameshawagiza polisi wavuruge mapokezi.
Kwa jinsi ambavyo hatuchukui tahadhari kama nchi zingine za Ulaya na Marekani, mantiki inaniongoza kufikiri kwamba sisi tulio masikini na tusio na mifumo mizuri ya kutokea huduma za afya, ndiyo tungeathirika zaidi na athari zake zingeonekana waziwazi maana vifo vingekuwa vingi mno, hata kama haiui papo kwa hapo.
Mimi nina ukoo mkubwa sana. Lakini sijasikia msiba wala misiba popote pale.
Mtaani kwetu nako hivyo hivyo. Hatujapewa taarifa za msiba wala misiba ya majirani!
Na tokea hiyo Corona ianze, ni mwezi wa ngapi sasa huu?
Wewe kwenye ukoo wako na mtaani kwako huku Tanzania, umefiwa na wangapi kutokana na Corona?
Hapo unaumia hadi basi basiMafuriko ya Lissu[emoji16][emoji16][emoji16]
Anajitolea halipwi
mataga kuna donge limekukaba kwenye koo unajikaza lakini machozi yana kulenga-lenga 🤣 🤣 🤣Mkuu, nijipe matumaini? Kwa faida ya nani?
Moyo wangu uko tuliii, mgombea JPM chini ya chama makini CCM haviwezi kunifanya nijifariji.
Na Mudawote, Kipara kipya, stroke, TrolJF, TumainE.Bia yetu
Huwezi muona kwenye uzi huu
Mabasi na malori yamekodiwa kwenda kumuaga hayati lakini yamebaki wazi. Kiongozi wa malofa bora wangemuagia tu hapo KarimjeeBodaboda wamekodiwa wamelipwa Chao Kama kipindi Cha Lowasa . Hongereni Bodaboda kwa kupiga pesa za uhakika Leo
Inategemea,je vigezo utakuwa navyo ?Kwa hiyo nikivuta subira nitamuoa binti yako wa kwanza uwe mama mkwe. Ngoja nimsubiri
Poleni kwa misiba. Nimefurahi pia kusikia hamjaathirika na hiyo Corona!Hata mimi nina ukoo mkubwa lakini tofauti na wewe misiba imetuandama. Lakini hamna anaefariki kwa Corona.
Amandla...