Only God can..........................................yaani kila nilikumbuka hii siku 7/9/2017 nilikua nimetoka darasan nikiwa kidato cha 6 nilikua nasikiliza kipnd cha Xxl kupitia Clouds fm ndipo mtangazaji bwana Bdozen alipotangaza kuwa kuna breaking newz ambayo ilikua ni Tundu Lissu kupigwa risasi na watu wasiojulikana akitoka bungeni mchana.

Dah kweli iliniuma na kunisikitisha sana lakn leo naona ukuu wa Mungu umetimia amerud akiwa mzima kweli alipangalo Mungu ndilo huwa.

God is great...[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mabasi na malori yamekodiwa kwenda kumuaga hayati lakini yamebaki wazi. Kiongozi wa malofa bora wangemuagia tu hapo Karimjee
Hebu tupia na kaphoto mkuu tuonr watu walivyokimbia msiba wakafata ufufuo
 
Nadhani ndo maana ya kutoa taarifa mapema ili wahusika waweze kufanya plan mapema kwa usumbufu wowote unaoweza kujitokeza.
 
Shida police wao hutekeleza amri kwa kushambulia raia kisa amri bila kupima madhara yake. Unaacha watu waandamanr Linda usalama usiku wakale ma kwao ndio kazi ya police hyo
Civilized ndivo ufanya hivi, wanazidiwa hata na polisi wa Malawi,acha watu wadai haki zao wakimaliza wanarudi kwao wanalala kwwnn kupigana mabomu.
Kama umewatendea mema watu kwann uogope watu
 
CCM bila police ni TLP kabisa
 


Tukubali tukatae Lissu ni mmoja kati ya wanasiasa wenye uvumilivu wa ajabu. Angeweza kubaki kule akapewa ukimbizi na hata kazi lakini kajitoa mhanga. Wanasiasa wengine hata pesa za vikao tu hawawezi kukosa!! au kununuliwa kwenye vyeo kama udiwani!.

Tukubali tusikubali uwe CCM au upinzani hatuna Watanzania wengi wenye uvumilivu kwa kiwango hiki. Hata Tanzania angeweza kuwa wakili tajiri kama Mkono lakini kachagua wito wake
 
Leo mtahangaika sana kutengeneza mashairi yaendane na ngoma mnayopigiwa, habari ni kurejea kwa Lissu! Ni furaha kubwa sana kwa watanzania wengi na ni mwiba kwa mijitu isiyo na utu kama wewe!
Live Long Lissu, amen!
 
Ha ha ha ha ha Mwanzoni mwa Uzi Ma-CCM yametutisha sana tusiiende Mara hakuna watu Mara oooh nguvu ya mitandao tu .Sasa hivi yamekimbia
Naona mumetafuta yakuongea ili mpate huruma sasa, mwana kulitafuta mwana kulipata...tusubiliane Octoba,2020 period.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…