Sauti ya Mamlaka
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,601
- 2,354
Only God can..........................................yaani kila nilikumbuka hii siku 7/9/2017 nilikua nimetoka darasan nikiwa kidato cha 6 nilikua nasikiliza kipnd cha Xxl kupitia Clouds fm ndipo mtangazaji bwana Bdozen alipotangaza kuwa kuna breaking newz ambayo ilikua ni Tundu Lissu kupigwa risasi na watu wasiojulikana akitoka bungeni mchana.
Dah kweli iliniuma na kunisikitisha sana lakn leo naona ukuu wa Mungu umetimia amerud akiwa mzima kweli alipangalo Mungu ndilo huwa.
God is great...[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Dah kweli iliniuma na kunisikitisha sana lakn leo naona ukuu wa Mungu umetimia amerud akiwa mzima kweli alipangalo Mungu ndilo huwa.
God is great...[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]