Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020
Only God can..........................................yaani kila nilikumbuka hii siku 7/9/2017 nilikua nimetoka darasan nikiwa kidato cha 6 nilikua nasikiliza kipnd cha Xxl kupitia Clouds fm ndipo mtangazaji bwana Bdozen alipotangaza kuwa kuna breaking newz ambayo ilikua ni Tundu Lissu kupigwa risasi na watu wasiojulikana akitoka bungeni mchana.

Dah kweli iliniuma na kunisikitisha sana lakn leo naona ukuu wa Mungu umetimia amerud akiwa mzima kweli alipangalo Mungu ndilo huwa.

God is great...[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
ee662032c265435e82f5e3faaca077ba.jpeg
 
Ndio mjue polisi walivyokuwa wastaarabu na walivyovumilia kuna abiria wanaweza kosa ndege zao leo watu hawana ustaarabu kabisa njia zote wanapita wao awajali shughuli za wengine; uwanjani wamejazana sijui ata abiria wengine waliingilia wapi.

Unaweza elewa furaha ya wana CDM lakini wajifunze ustaarabu kuna maisha ya wengine nje ya excitement zao hapo sasa wakitawanywa si watasema wanaonewa wakati clearly kuna breach of peace.
Nadhani ndo maana ya kutoa taarifa mapema ili wahusika waweze kufanya plan mapema kwa usumbufu wowote unaoweza kujitokeza.
 
Shida police wao hutekeleza amri kwa kushambulia raia kisa amri bila kupima madhara yake. Unaacha watu waandamanr Linda usalama usiku wakale ma kwao ndio kazi ya police hyo
Civilized ndivo ufanya hivi, wanazidiwa hata na polisi wa Malawi,acha watu wadai haki zao wakimaliza wanarudi kwao wanalala kwwnn kupigana mabomu.
Kama umewatendea mema watu kwann uogope watu
 
nawasalimu katika jina la Ed Kawiche

sijawahi kushuhudia kundi la watu wanafki km hawa ma'ccm! hivi inakuaje mikwara inakuwa mingi mpaka sasa tunawaona mmekuwa paka watu?

kelele za kusema mh Tundu akifika tu mnamkamata na ataisoma namba ziko wapi sasa?
mara mh Tundu ni msaliti wa taifa na haina budi kufa... mbona mmekuwa kimya hv?

leo nimeamini ni kundi la watu wachache (ccm) ndyo mnaotisha wananchi wa nchi takatifu na yenye amani Tanzania.

utaifa kwanza acheni kutuchimba mikwara watanzania tunaolitakia mema taifa letu teule Tanzania.
Mungu ibariki Tanzania na watu wake.
CCM bila police ni TLP kabisa
 


Tukubali tukatae Lissu ni mmoja kati ya wanasiasa wenye uvumilivu wa ajabu. Angeweza kubaki kule akapewa ukimbizi na hata kazi lakini kajitoa mhanga. Wanasiasa wengine hata pesa za vikao tu hawawezi kukosa!! au kununuliwa kwenye vyeo kama udiwani!.

Tukubali tusikubali uwe CCM au upinzani hatuna Watanzania wengi wenye uvumilivu kwa kiwango hiki. Hata Tanzania angeweza kuwa wakili tajiri kama Mkono lakini kachagua wito wake
 
Leo CHADEMA walijua watatikisa jiji kwa umati lakini hawaamini kilicho tokea, kati ya wakazi zaidi ya milioni 6 waishio jijini, wameambulia watu chini ya 1000 na wengi wao wakiwa ni viongozi toka mikoa mbalimbali. Walijipanga sana huku wakisindikizwa na kelele za vyombo vya mabepari na chombo chao hiki cha JF (maana sikuhizi JF imekuwa sehemu yao) ila Watanzania wameonesha kuwa hawana mpango nao.

Nimeshuhudia Lissu akishangaa jengo lakisasa Terminal 3, ilibaki kidogo aseme CCM hoye, namsihi baada ya kukatwa na CHADEMA atembelee miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali hii kisha aende kisutu akiwa na dereva wake bila shuruti kujibu mashtaka yanayo mkabili.
cc
jingalao mng'ato na wazalendo wengine
Leo mtahangaika sana kutengeneza mashairi yaendane na ngoma mnayopigiwa, habari ni kurejea kwa Lissu! Ni furaha kubwa sana kwa watanzania wengi na ni mwiba kwa mijitu isiyo na utu kama wewe!
Live Long Lissu, amen!
 
Ha ha ha ha ha Mwanzoni mwa Uzi Ma-CCM yametutisha sana tusiiende Mara hakuna watu Mara oooh nguvu ya mitandao tu .Sasa hivi yamekimbia
Naona mumetafuta yakuongea ili mpate huruma sasa, mwana kulitafuta mwana kulipata...tusubiliane Octoba,2020 period.
 
Only God can..........................................yaani kila nilikumbuka hii siku 7/9/2017 nilikua nimetoka darasan nikiwa kidato cha 6 nilikua nasikiliza kipnd cha Xxl kupitia Clouds fm ndipo mtangazaji bwana Bdozen alipotangaza kuwa kuna breaking newz ambayo ilikua ni Tundu Lissu kupigwa risasi na watu wasiojulikana akitoka bungeni mchana.

Dah kweli iliniuma na kunisikitisha sana lakn leo naona ukuu wa Mungu umetimia amerud akiwa mzima kweli alipangalo Mungu ndilo huwa.

God is great...[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]View attachment 1518595
[/QUOT]
Yule walipanga afe kwa risasi leo amerudi kwa tabasamu.
 
Back
Top Bottom