Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Anza wewe bibieWe babu malasta kitulize basi!
Miaka zaidi ya 50 unazungumzia miradi ya umeme. Kulikuwa na mradi wa umeme wa gas na bado tunanunua bei ghali kuliko wasio na gas.
Unaongea miradi bongo!
Umewaona hao tu? Amini kile utakacho mkuu_ au unataka kusema ccm wamebadilika?Wageni gani?? Hawa hawa wa Burundi, Rwanda, Sudani na Wengine kutoka Somalia ndio wamuogopeshe Magu?? No, big No!
Jamaa unatesekaBarakoa yake keshaitupa?
Sio mda wote kuweka ujeuri kwenye Mambo ujue watu wakipunguza kunung'unika na wewe Mambo yako ya uongozi yanaenda kiurahisi sanaKwakweli ila huyu ndugu yetu........
Msiba amesahau hata Lumumba wako huku wanafuatilia. Yeye mwenyewe yuko busy anafuatilia ... sasa alitaka nani aende Uhuru kama yeye yuko busy kufuatilia mambo ya Terminal 3!!
Kwendaaaa uko mnafiki mmoja wa ccm.
Weken mpira kati, Refa asiwabebe.. LISSU ANASHINDA ASUBUH KWEUPE.
Ipo hivi, watu wanataka kuona CCM inatoka madarakani km vilivyo vyama vikongwe Afrika.
Nyambafu.
Acha wivu wewe.
Lissu karudi Tanzania akiwa hai na mwenye afya njema, watu wamefurahi na kushangilia, sasa wewe unaumia nini?
Jibu murua kabisaNdio kwanza watu wanafanya biashara mpaka katikati ya barabara, kama huo ni ustawi basi kapige shule zaidi.
Kama mmMachozi ya furaha yananitoka
Bado nipo nimepokea picha zaidi ya mia tano za Msafara wa Lisu, mm ni ccm damu damu lakini ukweli usemwe tu, Lisu ana nguvu ya kiushawishi isiyo ya kawaida...
Tanzania ni kama vile tumesha sahau kama kuna msiba wa kitaifa...
na report kutoka hapa Illinois Marekani mm ni Waziri wa kaskazini Jf
Wajameni imekuwaje tena si ilikua akamatwe huyu au amechoropoka?
Nipo na rafiki yangu mjumbe hapa studio tulitaka twende kunywa makumbusho tumeghairi safari foleni ni kubwa sana kwa ajili ya CHADEMA, noma sana.
Nimeumia wapi?
Amina mkuuUkweli nimemuona Lisu anashuka moyo umeniuma sana hakika MUNGU hachezewi sharubu
Niumie wapi?Lazima uumie wewe Ngoosha