Relaaaaax mbona unaingia BONGONI mwangu Kaka,Mimi nilikuwa airport km raia mwingine nikataka kukutana na kusalimiana na mwanaJF mwenzang Sasa mbona umekuja kivibaya?
Wewe unajulikana ajent wa shetani
 
Reactions: BAK
Burundi pia ilikombolewa
Ha ha ha Mimi nimenukuu maneno ya mzee wetu hayati Mkapa alipowaambia wanaobeza thamani ya CCM kwa nchi hii..........

Mbona wengine wamemnukuu juu ya tume huru?!!!
Relax mzazi watanzania kwa umoja wetu tulimuombea Lissu apone km tulivyoomba Corona iishe.
 


Watu wanahamisha watoto wao Private kwa sababu hali ya kiuchumi ni ngumu hakuna pesa.

Yaani binti yangu ana 5yrs anajua kusoma na kuandika kiswahili na English, anajua hesabu za kujumlisha na kutuo,yupo darasa la kwanza tu wakati mwa wangu anafundisha shule za Magufuli mtoto yupo form one hajui kusoma wala kuandika. Halafu niwe na pesa nimuhamishie binti yangu kwenye hizo shule,mbona watoto wa viongozi wa serikali na wanasiada wa CCM hawasomi kwenye shule za elimu bila malipo? Nenda kawaongope Wajumbe wa CCM huko wazee wa kamati ya roho mbaya.
 
AHSANTENI WAKUU NAMI NARUDI MAANA TOKA SAA 6 HADI SASA SIJATULIA NA KESHO TUNAMSINDIKIZA MBEBA MAONO

Mh.Hallima Mdee Shalom!
Mh.Jipange vizuri Mana pale Kawe na UWEZO MKUBWA wa KISIASA wa ndg.Furaha Dominick,sijui km utatoboa...nisalimie mama mdogo mama Mdee pale JIRANI na HOSPITALI ya kairuki.
 
Reactions: PNC
AHSANTENI WAKUU NAMI NARUDI MAANA TOKA SAA 6 HADI SASA SIJATULIA NA KESHO TUNAMSINDIKIZA MBEBA MAONO
Ahsante kwa mubashara huu, namkaribisha pia kijijini aje anywe maziwa ya kiasili pamoja na mlenda, Tumemmiss sana Mnyampaa wintru.
 
Anasema kesho tumsindikize tumpeleke uwanjani
Watu wanashangilia saaaaana
Wengine wanasema saa ngapi wengine wanasema kama vipi twende sasa hivi tukupeleke

HUYU LISSU NI MBEBA MAONO
Duhh.. Nomaa.
 
Reactions: PNC
Police kuna chumba changu kinaitwa lissu asanteni

jamaa ni mzimu " ... Katika karne hii ya 21 hakuna m-tz ambaye ni mzalendo wa kweli kumshinda lissu " ...

Imagine mtu kapigwa risasi 16 but still amekuwa na ujasiri wa kurejea katika taifa ambalo lina tawaliwa na watesi wake Duuhh !!!

Huyu jamaa ni unbeaten
 
"Katika utamaduni wa kawaida watu wanaoponea chupuchupu kama mimi huwa wakikanyaga udongo wa nchi yao huwa wanapiga magoti na kubusu ardhi ya nchi yao, nilitamani na mimi nifanye hivyo, lakini goti halikunji, kwahiyo siwezi tena kupiga magoti" - TunduALissu
 
AHSANTENI WAKUU NAMI NARUDI MAANA TOKA SAA 6 HADI SASA SIJATULIA NA KESHO TUNAMSINDIKIZA MBEBA MAONO
Ahsante kwa mubashara huu, namkaribisha pia kijijini aje anywe maziwa ya kiasili pamoja na mlenda, Tumemmiss sana Mnyampaa wintru.
 
Askofu Mwamakula kwa Mbareeeee!!
 
Watu wamekewa mziki wanacheza kumbuka hakuna hata pa kukanyaga tunamsubiria LISSU AJE KUTUAGA

IMEWEKWA NYIMBO SIJUI INAITWA NARUDI NYUMBANI WATU WANASHANGILIA wimbo umezimwa
Watu wanaimba Raisi Rais Rais....
Jamaa zetu wata tuliga jamani!! Waineeni huruma.. Kuhudhuria mambo yao hadi muwape hela. Huku wana kuja wenyewe
 
Reactions: PNC
Wewe unajulikana ajent wa shetani
Unataka nisipokewe na BWAÑA na kuiona paradiso km utakavyoiona wewe lastly umenisukuma kwa Lucifer?!!!daah Aya bna nihukumu na ujifurahishe Mana Mimi kiumbe dhaifu Mali ya BWANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…