Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020
Kulizungumzia hili kunahitaji fikra kuu.

There can be more than three school of thoughts. But either way, nampongeza sana Mheshimiwa rais Magufuli. Hakika ni maagizo yake tu ndiyo yaliwafanya polisi kukaa mbali na tukio hili.

Tupate muda kidogo mengi yatajulikana
 
Wewe ni kibabu wa wanaume! Huna rafiki mtanzania mwenzako, zaidi ya wazungu wanaokutafuna tigo. Yani wewe ni hopeless tu! Hujawahi kuwa kitaa, Shukuru JF na wewe unajitutumua licha ya kuwa na pampas hapo ulipokaa! Maisha yako yote kwenye mtandao. Lowest self esteem! Yani nakudharau sana ni vile hujui tu mkuu! Yani we ni mchumba tu.
Taratibu Mangi!

Unasema unanidharau sana halafu papo hapo unaniita mkuu?

Mkuu ni neno la heshima. Deep down wewe unaniheshimu kwa sababu namkojolesha dadako Manka.

Haya njoo tupigane ngumi 🤜🏿.

Eff u. I’m
 
Wewe ni kibabu wa wanaume! Huna rafiki mtanzania mwenzako, zaidi ya wazungu wanaokutafuna tigo. Yani wewe ni hopeless tu! Hujawahi kuwa kitaa, Shukuru JF na wewe unajitutumua licha ya kuwa na pampas hapo ulipokaa! Maisha yako yote kwenye mtandao. Lowest self esteem! Yani nakudharau sana ni vile hujui tu mkuu! Yani we ni mchumba tu.
Yote haya sababu ya kuwa na mawazo tofauti na wewe? Alafu mtu anaezungumzia sana kutafunwa huwa anatafunwa yeye
 
Nawapongeza viongozi wote wa juu kwa kulinda amani siku ya leo kwenye mapokezi ya Tundu LISSU . Kwa hakika umeonyesha kwamba amani hainunuliwi . Amani hii isiishie kwenye mapokezi ya TUNDU lissu , iendelezwe kila mahali . Nadhani vyombo vya kimataifa watabakia mdomo wazi
MUNGU IBARIKI AFRIKA , MUNGU IBARIKI TANZANIA
Mkuu niungane na wewe kuwapongeza sana viongozi wa Serikali chini ya mheshimiwa rais kwa kitendo cha kuwaacha Chadema wampokea mwenzao bila kuingiliwa na polisi. Mpaka muda huu kila mtu katulia kwake na ile political mileage iliyokuwa inatafutwa imeyeyuka kama barafu juani. This was the best decision ever. Mungu aendelee kuwaongoza viongozi wetu. Tukutane Oktoba.
 
Kwenye kitabu cha "48 Laws of Power" cha Robert Green, Law #3 inasema hivi:

Conceal your intentions: Keep people off-balance and in the dark by never revealing the purpose behind your actions. If they have no clue what you are up to, they cannot prepare a defense...

Well done CCM.
Kwa hiyo kutowapiga na kuwauwa na kuwajeruhi leo waliompokea Lissu ni hiden agenda? Kwa hiyo Kuna maovu zaidi yanapangwa nyuma ya pazia.
 
Lisu ajihadhari sana na Mbowe, Lema, Halima Mdee na Ester Bulaya, hawa ndio walimpigia kura ya HAPANA hafai kuwa mgombea urais, wanamtaka Nyalandu, ujio wake umewakasirisha wanaweza kumdhuru, asipokee maji ya kunywa, chakula wala kushikana nao mikono.
Siku zote hizi leo ndio unampa taarifa? Kweli wewe kisogo chako kiko mbele ya uso.
 
Serikali ya Mh. Rais wetu JPM inatumia akili sana aiseee..
Hohohohoh ni ile barua bwana, kama ni akili mbona walitoa waraka wa kupinga.Wameona jumuia ya kimataifa inatazama na kuna ugeni wa kumwaga the late president.
Kama ni akili yuko wapi Ben Saanane,CCTV camera pics zenye rangi na mwonekano wa dslr katika issue ya Dewji, watu wasiojulikana....leo wamelazimika kuwa waungwana.
Kesho nitaungana na Lissu kwenda kutoa heshima taifa.
 
Kwenye kitabu cha "48 Laws of Power" cha Robert Green, Law #3 inasema hivi:

Conceal your intentions: Keep people off-balance and in the dark by never revealing the purpose behind your actions. If they have no clue what you are up to, they cannot prepare a defense...

Well done CCM.
Kuna ile law unatuma watu watende Jambo kwa mgongo wako huku wao wanapata lawama wewe hauguswi mfano case za makonda Hadi mheshimiwa akawa hamtumbui refer issue ya madawa. Honestly hichi kitabu nilikisoma chote Hadi nukta
 
Una matatizo mkubwa sana. Nakuona machozi yanavyokutoka

Umemuona eh?? Anapingana na mamlaka ya CCM iliyoondoa mazuio yote ya kukabiliana na corona na sasa analaumiwa mwananchi wa kawaida CHADEMA. Hawezi kuwaza nje ya CHADEMA.

Chadema is living rent-free in his head!!
 
Aliuepoteza hii mechi ni chadema...well calculated move..
Alie toa wazo la kutowazua CDM kumpokea Lisu kwa upande wangu ndie mahindi. Nilitegemea polisi kuja na nguvu kubwa kwenye tukio hili na kusababisha mauaji makubwa, na jamii ya kimataifa kutuona wa mwisho katika mataifa yasio na mwelekeo. Hongera Rais, hongera IGP.
 
Back
Top Bottom