Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazalendo wapo CCMPolice kuna chumba changu kinaitwa lissu asanteni
jamaa ni mzimu " ... Katika karne hii ya 21 hakuna m-tz ambaye ni mzalendo wa kweli kumshinda lissu " ...
Imagine mtu kapigwa risasi 16 but still amekuwa na ujasiri wa kurejea katika taifa ambalo lina tawaliwa na watesi wake Duuhh !!!
Huyu jamaa ni unbeaten
Ahsante kwa kutujuza.AHSANTENI WAKUU NAMI NARUDI MAANA TOKA SAA 6 HADI SASA SIJATULIA NA KESHO TUNAMSINDIKIZA MBEBA MAONO
Majibu Ume yapataMapokezi ya mitandaoni.
Mkuu Mungu akubariki sana, asante kwa updates umetufanya tulio mbali tufeel kama tupo eneo la tukio.AHSANTENI WAKUU NAMI NARUDI MAANA TOKA SAA 6 HADI SASA SIJATULIA NA KESHO TUNAMSINDIKIZA MBEBA MAONO
Wewe ni kibabu wa wanaume! Huna rafiki mtanzania mwenzako, zaidi ya wazungu wanaokutafuna tigo. Yani wewe ni hopeless tu! Hujawahi kuwa kitaa, Shukuru JF na wewe unajitutumua licha ya kuwa na pampas hapo ulipokaa! Maisha yako yote kwenye mtandao. Lowest self esteem! Yani nakudharau sana ni vile hujui tu mkuu! Yani we ni mchumba tu.Mangi 2007 ulikuwa mtoto?
Si ajabu ‘mtoto’ wa wanaume 🤣🤣
[emoji120][emoji120]Mkuu Mungu akubariki sana, asante kwa updates umetufanya tulio mbali tufeel kama tupo eneo la tukio.
Mmecheza mziki wa CHADEMA mlijua hawatokuja kama maandamo mengine sad fact wametokea wananchi wengi kuzidi police wote wa DarSerikali ya Mh. Rais wetu JPM inatumia akili sana aiseee..
Ha ha haaaSerikali ya Mh. Rais wetu JPM inatumia akili sana aiseee..
Nia yake tu ni goti tosha."Katika utamaduni wa kawaida watu wanaoponea chupuchupu kama mimi huwa wakikanyaga udongo wa nchi yao huwa wanapiga magoti na kubusu ardhi ya nchi yao, nilitamani na mimi nifanye hivyo, lakini goti halikunji, kwahiyo siwezi tena kupiga magoti" - TunduALissu
Aliuepoteza hii mechi ni chadema...well calculated move..Ameogopa maana dunia nzima ilikuwa ikumuangalia hata hivyo ipo siku atatakiwa kujibu juu ya mauaji na mateso ya watu mbalimbali. Mda utaongea
Mmecheza mziki wa CHADEMA mlijua hawatokuja kama maandamo mengine sad fact wametokea wananchi wengi kuzidi police wote wa Dar