Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Taratibu Mangi!Wewe ni kibabu wa wanaume! Huna rafiki mtanzania mwenzako, zaidi ya wazungu wanaokutafuna tigo. Yani wewe ni hopeless tu! Hujawahi kuwa kitaa, Shukuru JF na wewe unajitutumua licha ya kuwa na pampas hapo ulipokaa! Maisha yako yote kwenye mtandao. Lowest self esteem! Yani nakudharau sana ni vile hujui tu mkuu! Yani we ni mchumba tu.
ww si ndo ulisema tuta pigwa viboko tukienda kumpokea lissu sasa hv una jichekelesha chekelesha apaSerikali ya Mh. Rais wetu JPM inatumia akili sana aiseee..
Yote haya sababu ya kuwa na mawazo tofauti na wewe? Alafu mtu anaezungumzia sana kutafunwa huwa anatafunwa yeyeWewe ni kibabu wa wanaume! Huna rafiki mtanzania mwenzako, zaidi ya wazungu wanaokutafuna tigo. Yani wewe ni hopeless tu! Hujawahi kuwa kitaa, Shukuru JF na wewe unajitutumua licha ya kuwa na pampas hapo ulipokaa! Maisha yako yote kwenye mtandao. Lowest self esteem! Yani nakudharau sana ni vile hujui tu mkuu! Yani we ni mchumba tu.
Umeona eeh 🤣🤣🤣Yote haya sababu ya kuwa na mawazo tofauti na wewe? Alafu mtu anaezungumzia sana kutafunwa huwa anatafunwa yeye
Aliyesababisha Mauaji ya binti Akwilina ameshajulikana.Serikali ya Mh. Rais wetu JPM inatumia akili sana aiseee..
Asante ngonja niangalie.Itoshe tu kusema Mungu utenda kweli miujiza, msikilize
Mkuu niungane na wewe kuwapongeza sana viongozi wa Serikali chini ya mheshimiwa rais kwa kitendo cha kuwaacha Chadema wampokea mwenzao bila kuingiliwa na polisi. Mpaka muda huu kila mtu katulia kwake na ile political mileage iliyokuwa inatafutwa imeyeyuka kama barafu juani. This was the best decision ever. Mungu aendelee kuwaongoza viongozi wetu. Tukutane Oktoba.Nawapongeza viongozi wote wa juu kwa kulinda amani siku ya leo kwenye mapokezi ya Tundu LISSU . Kwa hakika umeonyesha kwamba amani hainunuliwi . Amani hii isiishie kwenye mapokezi ya TUNDU lissu , iendelezwe kila mahali . Nadhani vyombo vya kimataifa watabakia mdomo wazi
MUNGU IBARIKI AFRIKA , MUNGU IBARIKI TANZANIA
Kwa hiyo kutowapiga na kuwauwa na kuwajeruhi leo waliompokea Lissu ni hiden agenda? Kwa hiyo Kuna maovu zaidi yanapangwa nyuma ya pazia.Kwenye kitabu cha "48 Laws of Power" cha Robert Green, Law #3 inasema hivi:
Conceal your intentions: Keep people off-balance and in the dark by never revealing the purpose behind your actions. If they have no clue what you are up to, they cannot prepare a defense...
Well done CCM.
Siku zote hizi leo ndio unampa taarifa? Kweli wewe kisogo chako kiko mbele ya uso.Lisu ajihadhari sana na Mbowe, Lema, Halima Mdee na Ester Bulaya, hawa ndio walimpigia kura ya HAPANA hafai kuwa mgombea urais, wanamtaka Nyalandu, ujio wake umewakasirisha wanaweza kumdhuru, asipokee maji ya kunywa, chakula wala kushikana nao mikono.
Lile shangwe tu limetosha mbona BBC na Al-Jazeera wanasema he deserves to be a presidentHii game CDM ndio wamepigwa chenga, kumbe hukujua, yaani no any govnt security force imewazuia so CDM haijapata publicity ya kusema nje ya nchi. Hivyo imepoa kwa lugha nyingine
Hohohohoh ni ile barua bwana, kama ni akili mbona walitoa waraka wa kupinga.Wameona jumuia ya kimataifa inatazama na kuna ugeni wa kumwaga the late president.Serikali ya Mh. Rais wetu JPM inatumia akili sana aiseee..
Kuna ile law unatuma watu watende Jambo kwa mgongo wako huku wao wanapata lawama wewe hauguswi mfano case za makonda Hadi mheshimiwa akawa hamtumbui refer issue ya madawa. Honestly hichi kitabu nilikisoma chote Hadi nuktaKwenye kitabu cha "48 Laws of Power" cha Robert Green, Law #3 inasema hivi:
Conceal your intentions: Keep people off-balance and in the dark by never revealing the purpose behind your actions. If they have no clue what you are up to, they cannot prepare a defense...
Well done CCM.
Una matatizo mkubwa sana. Nakuona machozi yanavyokutoka
Alie toa wazo la kutowazua CDM kumpokea Lisu kwa upande wangu ndie mahindi. Nilitegemea polisi kuja na nguvu kubwa kwenye tukio hili na kusababisha mauaji makubwa, na jamii ya kimataifa kutuona wa mwisho katika mataifa yasio na mwelekeo. Hongera Rais, hongera IGP.Aliuepoteza hii mechi ni chadema...well calculated move..