Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Haki ya mungu kweli watanzania wanaipenda sana cdm, yaani pamoja na vitisho vyoote vya wamiliki wa virungu jana lkn bado watu wamejazana hapa uwanja wa ndege.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na zwazwa hiloPale taifa kuna social distance? Waombolezaji wote wamevaa barakoa? Hivi wewe unatumia kiungo gani cha mwili wako kuandika huu upuuzi?
Safi sana wakazi wa dar kwa kutuwakilisha tuko pamojaWatanzania wenye akili timamu View attachment 1518467
Kaa vizuri dawa iingie
Polisi wamebana mwisho wameachiaa.watanzania wamejazana kumpokea kiongozi wao.
Yaonekana hakulala vizuri msibani, sasa katumwa tena huku.Mjuba akiwa makini kabisa kufuatilia mienyendo ya makamanda View attachment 1518323
Picha zenu zinamuumiza mwenyekiti wetu wa chama cha vegetables
Media zote ni state owned
Ogopa sana watu wanaitwa WAJUMBEAlikula teuzi akakimbilia kutia nia wajumbe wakamla kichwa! Namjua fika huyo kaamua kurudia kibarua chake cha awali
wapi sasa kipawa au temeke
Natamani nikuone ukojeKweli mimi siyo mwanamke aliye sawa sawa. Mimi ni mwanamke na robo tatu.
Amelazimishwa na wakubwa wa duniaMagufuli akiendelea na utulivu huu wa kutowasumbua wapinzani atapata heshima.
Kunywa panado maana naona unaweweseka
Mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baada ya Wajumbe kukufilimba umerudi tena mjengoni, kweli wajumbe sio watu
Duh haya wekeni mapicha sasa sio porojo tuHuu uzi unahusu wapi?