Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020
Hii ndio police tunayo hitaji..
FB_IMG_1595849900387.jpeg
FB_IMG_1595849897980.jpeg
FB_IMG_1595849895498.jpeg
 
Haogopi bali Chadema imejaa vibaka kwa hiyo ulinzi ni muhimu. Nilishuhudia wakati Chadema wanautoa mwili wa marehemu Mawazo Bugando Mwanza walikuwa wa awalazimisha watu ambao walikuwa hawahusiani na msiba ule eti waungane nao na kupora mali za Wamachinga maeneo ya Nata na kwingineko walikokuwa wakipita. Serikali iweke ulinzi imara kwa ajili ya raia wake na si kwa ajili ya Lissu
Uliwapeleka policcm?
 
Back
Top Bottom