Anaagwa mwezi huuYupo sana huyoooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaagwa mwezi huuYupo sana huyoooo
Sidhani mkuu,naskia kocha anamkubali sana huyo jamaaAnaagwa mwezi huu
simba kupitia kwa ahmed ally wamesema hawatosajili mchezaji wa ndani this time,hizo tetesi ni batili[emoji599]BREAKING NEWS,..simba inakaribia kumalizana na kiungo wa mbeya city,hassan maulid machezo,jamaa anacheza namba 6 na namba 8 na namba 10.
Jamaa anakuja kuchukua nafasi ya mkude,ambaye simba wanatarajia kuachana naye.
Jamaa anajua sana mpira,ni usjili mzuri kama utakamilika.
N.B singida wanawazoom tu simba wapite naye,manake singida wanawaoneaga sana simba kwenye usajili wa ndani.
Watasajili akina sawadogo toka nje ya nchi. Kwahiyo wanawaacha wachezaji si chini ya 10 then watawareplace na wachezaji wa nje. Sijui kwa nini ila Binafsi namuona Ahamed Ally kama kichwa hakipo sawa au Kanjibahi anamlamba Makofi pale Msimbazi.simba kupitia kwa ahmed ally wamesema hawatosajili mchezaji wa ndani this time,hizo tetesi ni batili
Hahaaaa, eti ukimwambia aandike kama mwanaume anakasirika.Labda ni" kokoliiiiiikoooo"[emoji2089][emoji2089]
Basi yameisha bosi ila ujumbe umeupata. Usiandike kindezi humu sio FB We bwege.Ko na ukike vina husiana vipi?
Mwanamke haruhusiwi kukoment kwenye hili jukwaa au ndo unajifunza kutumia jf?
Sasa wale wazee wa kusubilia pesa ya maandalizi ya super cup ili wafanye usajili itakuwaje? Wametoa macho kuomba iyo pesa itoke haraka iwaokoe wamebaki kupatanisha wachezaji kwa mali kauli but wenzao wanaweka mpunga wanapita nao kama kipanga ligi ikianza watakuwa wameambulia masalia kutoka ligi za Rwanda na burundi🤣🤣🤣Klabu ya Azam FC imedhamiria kufanya makubwa katika msimu ujao, ni baada ya kukubali kutoa kitita cha dola 300,000 (zaidi ya Sh 710.5Mil) kufanikisha usajili wa mshambuliaji wa zamani wa Simba, Luis Miquissone raia wa Msumbiji.
Mshambuliaji huyo aliyetolewa kwa mkopo klabu ya Abha inayoshiriki Ligi Kuu ya Saudi Arabia akitokea Al Ahly ya Misri hivi karibuni alitajwa kurejea Simba SC kwa ajili ya msimu ujao lakini ikaonekana fedha anayotaka alipwe ni nyingi.
Azam FC wanataka kukamilisha dili hilo la Luis, ikiwa ni saa chache baada ya kumsajili Feisal Salum ‘Fei Toto’ kutoka Young Africans.
Mmoja wa mabosi wa Azam FC, amesema kuwa asilimia hamsini mazungumzo yamekamilika kati ya kiungo huyo na uongozi wa timu hiyo.
Hao masalia wanamfanya yule anaetembea kama kavaa kokoko akae roho juu kwenye ufungaji wa magoli ikiwezekana kabisa akakosa kiatu msimu wa pili mfululizo ambao ligi kuu anashindwa na wageni wanzake waliokuwa wanafikisha goal 20+?Sasa wale wazee wa kusubilia pesa ya maandalizi ya super cup ili wafanye usajili itakuwaje? Wametoa macho kuomba iyo pesa itoke haraka iwaokoe wamebaki kupatanisha wachezaji kwa mali kauli but wenzao wanaweka mpunga wanapita nao kama kipanga ligi ikianza watakuwa wameambulia masalia kutoka ligi za Rwanda na burundi🤣🤣🤣
Tajiri namba moja yupo MsimbaziSasa wale wazee wa kusubilia pesa ya maandalizi ya super cup ili wafanye usajili itakuwaje? Wametoa macho kuomba iyo pesa itoke haraka iwaokoe wamebaki kupatanisha wachezaji kwa mali kauli but wenzao wanaweka mpunga wanapita nao kama kipanga ligi ikianza watakuwa wameambulia masalia kutoka ligi za Rwanda na burundi🤣🤣🤣
Kupanga ni kuchagua wengine wana waza ubingwa wengine kiatuHao masalia wanamfanya yule anaetembea kama kavaa kokoko akae roho juu kwenye ufungaji wa magoli ikiwezekana kabisa akakosa kiatu msimu wa pili mfululizo ambao ligi kuu anashindwa na wageni wanzake waliokuwa wanafikisha goal 20+?
Kiatu ni tuzo ya mchezaji mmoja kutokana na majumuisho ya ufungaji msimu mzima la sivyo mayele asingelia kule ig hana goli la penati wakati tuta zenyewe akipewa anapaisha na kokoko zakeKupanga ni kuchagua wengine wana waza ubingwa wengine kiatu