Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA waendelea, Kawe kumewaka moto leo

Chadema tafuteni ushauri kwa dada Mange na Shangazi + Rwaitama + bagonza, munga na mwamakura kisha tounane wiki ijayo.
 
Nacheeeka huku naogopa!

Ndugu zangu wa CHADEMA jitoeni tu maana mpaka hapa mlipofikia mmeshafeli kwenye kambi zenu za upinzani mna watu hawa? Je, ni vipi mkifika maeneo ya Dodoma, Mwanza, Unguja na mengine ambapo ni kambi za CCM itakuwaje si ndo mtapata aibu ya mwaka?

Toeni hoja wananchi tujae kuwasikiliza ,matusi hayatawajenga kwa lolote lile na mtanyooshwa kisawasawa na wajumbe mwaka huu.

Anyway, ngoja niondoke hapa MKUTANO gani huu?

Kura yangu ni kwa yule anayejenga hoja tu
 
Mbona amtaki kuweka picha za leo hapo kawe?
Au ngoja niende nikapige mwenyewe,si ni viwanja vya Tanganyika packers tu hapo.
 
Ili kuweza kujenga hoja ni lazima ushabiki na misimamo ya ajabu tuiweke pembeni.

Bado sijajua ni kwanini awamu hii muitikio umekuwa ni hafifu mno aiseee.

Tukae chini na kujiuliza ni wapi shida ilipo.
Mnaposema ACHIENI MIKUTANO MUONE, wakati kipindi hicho badala ya kujenga sera mko bize kusubiri jpm kakosea wapi mdandie! Wananchi wa sasa sio wajinga, wana sense of organs zote na akili juu kutafakari...
 
Wanatosha sana, tutapiga kura ndio la muhimu.
 
Acha kushuhudia uongo wee kenge ...lini ukawa mwana Chadema? Uongo unakusaidia nn
 
Mbona amtaki kuweka picha za leo hapo kawe?
Au ngoja niende nikapige mwenyewe,si ni viwanja vya Tanganyika packers tu hapo.
Leo hawatakufukuza ila watakutafuna😂😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…