Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Sasa kwanini tbccm wa Jf walianza figisu za kusema wanakawe wamegoma kuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hadi uzuni kweli kazi ipo
Niko dom aise kna misambwanda ya kila ainaHuo moto haujawasha tu mpaka saa hizi?
Ungeona maroli ndio ungeuliza watuUmati vipi😎😎
Mnaposema ACHIENI MIKUTANO MUONE, wakati kipindi hicho badala ya kujenga sera mko bize kusubiri jpm kakosea wapi mdandie! Wananchi wa sasa sio wajinga, wana sense of organs zote na akili juu kutafakari...Ili kuweza kujenga hoja ni lazima ushabiki na misimamo ya ajabu tuiweke pembeni.
Bado sijajua ni kwanini awamu hii muitikio umekuwa ni hafifu mno aiseee.
Tukae chini na kujiuliza ni wapi shida ilipo.
Na ipo hasa.hadi uzuni kweli kazi ipo
Another mistake.....Nadhani kitendo cha jana kusema kuwa leo kutakuwa na maandamano ndio kimechangia watu kuwa wachache hivi
Wanatosha sana, tutapiga kura ndio la muhimu.Sasa hiyo mnakuwa mnawatenga wa nyuma hawaonekani mkuu, mmechukuwa tu wa mbele na anga kana kwamba wanaenda mbinguni, wekeni aerial view inayoonesha washiriki wote kabisa.. vivuli vinaonesha kabisa jua likielekea kuzama yaani ni kuelekea mwisho wa mkutano mkuu. View attachment 1551691
Acha kushuhudia uongo wee kenge ...lini ukawa mwana Chadema? Uongo unakusaidia nnNipo kwenye mkutano hapa na nimefika muda mrefu sana ili kusikikiza sera mbadala kutoka kwa viongozi wetu na mgombea wetu.
Kabla ya yote jana mgombea wetu alitueleza kuwa tutafanya maandamano ya amani kabla ya mkutano kuanza ila ukweli ni kuwa hatujafanya maandamano hadi sasa na tupo hapa hatujui kinachoendelea.
Mbaya zaidi hadi sasa mgombea wetu hajafika hapa kwenye mkutano na tunapata tu tetesi kuwa eti hajisikii vizuri
Watu tupo wachache kuliko jana mbagala, ila hii inaweza kuwa bahati mbaya kwa sababu nadhani wamechagua sehemu ambayo haikuwa sahihi.
Kawe ni sehemu ambayo imezungukwa na sehemu za ushuani ambao huwa hawapendi kabisa mikutano ya kisiasa. Ningekuwa mimi huu mkutano leo ungefanyika ubungo, magomeni au kimara lingetafutwa eneo zuri la wazi maeneo hayo kwa ajili ya mkutano.
Ila yote kwa yote kuna shida ndani ya chama.
Leo hawatakufukuza ila watakutafuna😂😂😂😂Mbona amtaki kuweka picha za leo hapo kawe?
Au ngoja niende nikapige mwenyewe,si ni viwanja vya Tanganyika packers tu hapo.
Haaa haaa you made my dayBora nyie.sisi mpaka muda huu hapa dodoma posho zetu hatujalipwa na polepole hapokei simu.View attachment 1551994
Ongeza na hawa hapa wa Kawe leo.Wanatosha sana, tutapiga kura ndio cha muhimu.
Sasa kwanini tbccm wa Jf walianza figisu za kusema wanakawe wamegoma kuja
nacheka kama falaNa ipo hasa. View attachment 1552000
Watakwambia hiyo ni picha ya asubuhiiii.View attachment 1551985
nyomi la kawe hili hapa