Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Duh!!?
 

Nimeelewa mkuu
 
Record yao chafu haiwazuii kuchukua nyumba yao iliyotaka kutapeliwa na bashite.
Mbona hawakusema toka mwanzo kua Makonda anawalazimisha wamjeengee hiyo Nyumba! Hao wote wanajuwana kwenye ma deal yao machafu! Na si muda Siri zao wote watazitoa kwa jamii, ili mjuwe aina ya Viongozi na Wafanyabiashara mnao waamini sana!!
 
Mbona kuna Watumishi wengi tu wa Umma wanamiliki Mali ambazo haziendani na vipato vyao!? Au wwe Tanzania umekuja juzi!? Hii point yako futa kabisa,labda uje na hoja nyingine!!
 
Raha zinaisha taratibu mkuu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Watu huwa wanajidanganya tu ! Duniani hakuna raha inayonunuliwa kwa gharama kubwa !! Raha ya dunia ni kupata peace of mind !! Na hiyo peace of mind huwa hainunuliwi kwa bei yeyote !! Maneno yangu haya wenye utajiri wao wanajua kuwa nasema kweli !! Ila wale ambao hawajawahi kupata utajiri hawataamini maneno yangu haya !!
 
Mbona Makonda hakukufuata wwe umjengee Nyumba kipindi cha Magufuli!? Kwa kuwa wwe hutaki Ulinzi wake kwenye biashara zako,labda kwa kuwa huna biashara chafu! Wafanyabiashara Wenye biashara chafu ndiyo hutegemea Viongozi wawalinde ili ma deal yao yaende! Huyo GSM na Makond kila Mtu afunguke au wenyewe warudi tena kwenye meza ya makubaliano bado hawajachelewa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…