mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
"KARMA" !!!What goes around always comes around.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"KARMA" !!!What goes around always comes around.
Duh!!?Ukienda TAKUKURU Upanga kuna watanzania wenye asili ya India kama watano walileta malalamiko pamoja na kadi za gari... Kuna mmoja alichukuliwa new model v8 ya mwaka 2016 na bei yake mpaka leo ipo juu sana hiyo gari..
Hawa walikuwa wanalindwa na mfumo ulivyokuwa wa nchi...
Kwani watu hawakusikia msemo huu ' KWENYE UONGOZI WANGU TAJIRI ANAFANYWA CHOCHOTE ' na watu wakapiga makofi..
Bora hawa wakina GSM wamesalimika na roho zao.... Matajiri wengi walifariki wa pressure kitokana na kuambiwa inahitajika hii.. Account yako inatakiwa ikatwe hela hii.....
Hujakaa sawa unafuatwa mheshimiwa amenituma kwako kuchukua hiki... Nk
Mpeleke jera siunayo mamlaka na uwezo huo na ushahidi unao
Mkuu wanasiasa si watu wa kuweka nao bifu hasa unapokuwa mfanya biashara. Kama GSM wana mtu wa PR wataliona hili nalosema. Hivi nani alijua Makala atakuja kuwa mkuu wa mkoa wa Dar???? Ninachomaanisha hapa ni kuwa wanasiasa wana mitaji mikubwa ya network, mtu anaweza kuwa idle kwa muda ila siku mtu wake akimkumbuka basi anaweza kulipiza kisasi. Msipe kichwa GSM. Na kumbukeni Makonda na Mama ni kitu kimoja.
Kwani Rais anawekwa na nani?Nadhani GSM kama wana akili waache kucheza michezo ya wanasiasa. Hakuna aliyejua Nape atakuja kuwa Waziri karibuni.
Makonda anaweza kuja kuwa Rais au Waziri na mwenye ma mlaka ndipo utakapoona GSM wanakimbia nchi.
Mbona hawakusema toka mwanzo kua Makonda anawalazimisha wamjeengee hiyo Nyumba! Hao wote wanajuwana kwenye ma deal yao machafu! Na si muda Siri zao wote watazitoa kwa jamii, ili mjuwe aina ya Viongozi na Wafanyabiashara mnao waamini sana!!Record yao chafu haiwazuii kuchukua nyumba yao iliyotaka kutapeliwa na bashite.
Mbona kuna Watumishi wengi tu wa Umma wanamiliki Mali ambazo haziendani na vipato vyao!? Au wwe Tanzania umekuja juzi!? Hii point yako futa kabisa,labda uje na hoja nyingine!!Kama mtu ni division ZERO hakika hawezi kuficha ZERO yake maishani. Makonda amekuwa mfanyakazi wa Serikali kwa miaka 2014-2020, ni kwa mshahara gani anaweza kumiliki nyumba ya Tsh 2.0 Billion?
Angekuwa ana akili hata ya Div IV, ingebidi akae mbali na utajiri huu na azoee maisha ya kawaida.
Hata kama Rais SSH anamlinda kama inavyodaiwa na baadhi ya watu, ajue tu iko siku Samia atatoka madarakani na ATADHALILISHWA tu. Mali ya DHULUMA na damu za watu wasio na hatia alizomwaga bado zinamtafuta
Watu huwa wanajidanganya tu ! Duniani hakuna raha inayonunuliwa kwa gharama kubwa !! Raha ya dunia ni kupata peace of mind !! Na hiyo peace of mind huwa hainunuliwi kwa bei yeyote !! Maneno yangu haya wenye utajiri wao wanajua kuwa nasema kweli !! Ila wale ambao hawajawahi kupata utajiri hawataamini maneno yangu haya !!
Wacha inyeshe tuone panapovuja bandugu!! "KARMA" !!Mbona hawakusema toka mwanzo kua Makonda anawalazimisha wamjeengee hiyo Nyumba! Hao wote wanajuwana kwenye ma deal yao machafu! Na si muda Siri zao wote watazitoa kwa jamii, ili mjuwe aina ya Viongozi na Wafanyabiashara mnao waamini sana!!
Mbona Makonda hakukufuata wwe umjengee Nyumba kipindi cha Magufuli!? Kwa kuwa wwe hutaki Ulinzi wake kwenye biashara zako,labda kwa kuwa huna biashara chafu! Wafanyabiashara Wenye biashara chafu ndiyo hutegemea Viongozi wawalinde ili ma deal yao yaende! Huyo GSM na Makond kila Mtu afunguke au wenyewe warudi tena kwenye meza ya makubaliano bado hawajachelewa!!Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Kama Makonda alifikia kutumia jina la JPM kujimilikisha visivyo halali na kudhulumu vya wengine hatakiwi kuonewa huruma.
Na hii inachafua uongozi uliopita. Kumbe watu walikuwa wanajiamulia.! Maadamu vyombo vya usalama vipo basi ukweli utajulikana.
Kweli tutasikia na kuona mengi
Yani unataka ioneshwe ili iweje?Jiulize ni kwanini nyumba ya Chato haikuonyeshwa wakati wa msiba.
Kwa hiyo pamoja na kumfunga kamba za viatu rizmoko bado aligombana naye, asalaaalee..........Makonda alifanya kosa kubwa sana kugombana na familia ya JK, ukizingatia walikomtoa.
umekosa akili ya kujua kwa nini wanalalamika?Ukitaka kuona real zile afrikan illusion characters njoo JF, yaani watu wanaandika utadhani wao ndiyo walidhurumiwa, kuuliwa ndg, kutapeliwa, kufungwa nk.